Showing posts with label AIBU. Show all posts
Showing posts with label AIBU. Show all posts

Monday, May 2, 2016

Rais Joseph Kabila Amfukuza Kazi Naibu Waziri wa Wizara ya Mawasiliano Enock Ruberangabo Kwa Kosa la Kupiga Punyeto Ofisini

Rais Jamhuri wa Kidemokrasi ya Congo, Joseph Kabila amemtimua kazi Naibu Waziri wa Posta na Mawasiliano kutokana na kusambaa kwa video inayomuonesha akipiga punyeto ofisini Kwa mujibu wa televisheni ya taifa, RTNC, Kabila amedai waziri huyo, Enock Ruberangabo Sebineza ameliabisha taifa.  ...
Share:

Thursday, December 5, 2013

VIDEO: AFUNGWA MIAKA 10 BAADA YA KUKAMATWA AKIMBAKA MBUZI....!!

Jamaa mmoja mwenye umri wa miaka 28 amehukumiwa kwenda jela miaka kumi mara baada ya kukutwa na hatia ya kufanya tendo la ngono na mbuzi.Katana KitsaoKatana Kitsao Gona toka Malindi nchini Kenya wiki iliyopita alikiri kufanya ngono na mnyama. Shuka chini kuangalia Video hiyo..... Mbuzi...
Share:

Tuesday, November 12, 2013

AIBU! DOKTA APIGWA TALAKA BAADA YA PICHA AKISALITI NDOA KUNASWA,MUME AZIMIA....

Salha Hassan na mumewe Abdullatif Mohamed siku walipofunga ndoa.DAKTARI wa Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja Zanzibar, Salha Hassan amejikuta akipigwa talaka na mume wake, Abdullatif Mohamed kufuatia picha zake chafu akiwa na mwanaume mwingine kunaswa kwenye simu yake mkononi, Uwazi limenyetishiwa.  Cheti...
Share:

Sunday, November 3, 2013

VIDEO: MWANAMKE AVUA NGUO NA KUCHEZA UCHI HADHARANI BAADA YA KULEWA POMBE....

 Katika  hali  isiyo  ya  kawaida, mwanamke  mmoja  nchini  Ningeria  amejikuta  akivua  nguo  zote  hadharani  na  kucheza  uchi  mbele  ya  kundi  la  watu...Mitandao  ya  kinigeria ...
Share:

AIBU! VIDEO NYINGINE YA NGONO YA WABONGO YAVUJA...

 Balaa  la  video  chafu  za  ngono  limeendelea  kuwatafuna  dada  zetu  ambao  hukubali  kurekodiwa  na  wapenzi  wao  pasi  kujali  kama  video  hizo  zitavuja  au  la...Baada ...
Share:

Saturday, October 19, 2013

PICHA: AIBU!! FLORA LYMO AENDELEA KUTANGAZA BIASHARA ZAKE KWA KUPIGA PICHA ZA UTUPU....

 Kutana na mwendelezo wa  mwanamama flora Lymo ni mtanzania anayeishi nje ya nchi ambaye yuko kwenye "SERIES" ya kupiga a picha za nusu utupu na kuziweka kwenye blog yakeKwa sasa mwana mama huyu hutumia picha zake za utupu na kutangaza biashara zake za nguo za ndani na nyenginezo...  ...Hizo...
Share:

Friday, October 18, 2013

PICHA ZA UCHI ZA KIM KARDASHIAN ZAWAKWAZA MASHABIKI WAKE....

TV star Kim Kardashian ambae ni baby mama wa rapper Kanye West ameingia tena kwenye headlines baada ya picha zake kusambaa akiwa ameziba tu sehemu ndogo ya mwili wake huku akiweka msisitizo kwenye instagram kwamba #Nofilter yani hajaongeza mbwembwe zozote za kiteknolojia kwenye muonekano wa picha. ...
Share:

Monday, October 14, 2013

AIBU!! MCHUNGAJI WA KANISA LA ANGLIKANA GONGO LA MBOTO AFUMANIWA NA MKE WA MTU GESTI.....!!

TOFAUTI na inavyoaminika na wengi kuwa watumishi wa Mungu ni watu safi, safari hii Mchungaji Obed Ntimba wa Kanisa la Anglikana Gongo la Mboto, Dar es Salaam amejikuta akivunja agano la Muumba baada ya kunaswa gesti akiwa na mke wa mtu.  Tukio hilo la aibu lilimkuta mchungaji huyo Ijumaa iliyopita...
Share:

Sunday, October 13, 2013

VIDEO: ATEMBEA UCHI KWENDA SHULENI KUMUONYA MWALIMU MWENYE NA MAHUSIANO YA KIMAPENZI NA MUME WAKE....

Mwanamke mmoja huko Bahamas alienda kwenye shule ya serikali AF Adderley akiwa uchi wa mnyama kumuonya mwalimu mwenye uhusiano wa kimapenzi na mume wake.Aliingia darasa lenye wanafunzi under-age ambako mwalimu huyo alikuwa anafundisha, kumwambia yule mwalimu "UNAFIKIRI MUME WANGU ANAWEZA KUNIACHA?...
Share:

Friday, October 11, 2013

PICHA YA NUSU UCHI YA MSANII WA VITUKO SHOW (LISSA MLAKI) ZAVUJA....

Msanii wa kike  wa kundi la vituko show  ajulikanaye  kwa  jina  la Lissa Mlaki  amejikuta katika aibu ya mwaka baada ya picha alizopiga akiwa utupu kuvuja mtandaoni...Picha  hizo zinamwonesha  mwanadada huyu  akiwa  na  kichupi  kitandani ...
Share:

Wednesday, October 9, 2013

"MAAJABU YA MUSA NA USTAA WA SASA LAZIMA UJIANIKE KAMA VITUNGUU ILI UJULIKANE.....KHAAAA!!" SINTAH

Mwanadada Huddah Baada ya kupost picha ikimuonesha maungo yake, The C.E.O her self Sintah amshukia na kumuandika katika blog yake kwa mambo ya ajabu anayofanya akiwa kama msanii ambaye ni kioo cha jamii.., Sintah ameonekana kaguswa sana na mambo ya ajabu ambayo wanapost wasanii wenzake ikiwa lengo...
Share:

Friday, May 24, 2013

AIBU: MCHUNGAJI ATEMBEZWA UCHI HADI KANISANI KWAKE BAADA YA MKEWE KUMFUMANIA NA MWANAKWAYA LIVE..!!

Mtumishi mmoja wa Mungu amejikuta akipata aibu ya mwaka si tu mbele za Mungu bali hata kwa mkewe pamoja na mashuhuda wengine baada ya mkewe kumfumania ‘live’ kitandani akifanya mapenzi na mwana kwaya wa kanisa lake huko Kisumu nchini Kenya.  Habari zilizoripotiwa na mtandao wa Kenyan-Post zinasema...
Share:

Tuesday, May 14, 2013

AIBU: ZITTO KABWE AMWAGA MACHOZI LIVE BAADA YA KUPIGWA KIBUTI MTANDAONI NA LOVENESS DIVA....!!

Waswahili  husema  ..."Mapenzi  ni UCHIZI"... Hili  ndo  tunalolishuhudia  kwa  Mh Zitto  na Manzi  wake MAPEPE ( Loveness Diva )  ambaye  ameamua  kumtema  na  kupeleka  penzi  lake  kwa Prezzo wa Kenya....Kwanza ...
Share:

Monday, May 13, 2013

MFANYABIASHARA ALIYEFUMANIWA NA MWANAFUNZI GESTI APIGWA FAINI YA 640,000....!!

YULE mfanyabiashara  wa jijini Dar ambaye hivi karibuni alifumaniwa gesti akiwa na mwanafunzi wa kidato cha pili, huenda akapandishwa kizimbani siku yoyote.....Kwa mujibu wa dada wa mwanafunzi huyo ambaye aliomba jina lake lisiandikwe , baada ya mfanyabiashara huyo kufumaniwa na binti huyo...
Share:

Friday, May 10, 2013

MKASA: "NILILISHWA KINYESI NA MAKAMASI KAMA UGALI NA MBOGA BAADA YA KUFAMANIWA NA MKE WA MTU"....SITASAHAU...!!

Ilikua mwaka 2008 nilipomaliza shaada yangu ya kwanza pale mlimani na katika harakati za kutafuta ajira nikajikuta nimejiingiza kwenye mahusiano na mke wa mtu ambaye nilikutana nae pale posta kwenye ofisi flani ambayo nisingependa kuitaja jina Nakumbuka vizuri sana siku ya tukio kwani9 siwezi kuisahau...
Share:

Wednesday, May 8, 2013

SKENDO: MWALIMU AUAWA BAADA YA KUZINI NA MKE WA ASKOFU...!!

Kakamega, KenyaKUNDI la watu wenye hasira huko Kakamega  lilimpiga hadi kumwua mwalimu ambaye alibambwa akifanya mapenzi na mke wa askofu.Askofu huyo alikuwa akiendesha ibada ya mazishi kijijini Tomboo, Jimbo la Malava.Mkuu wa Wilaya ya Kakamega Kaskazini,  Gideon Ombongi , alisema mwalimu...
Share:

Monday, April 29, 2013

AIBU: ASKARI MWANAUME ABAKWA NA WANAWAKE WANNE BAADA YA KUTEKWA....!!

Askari mmoja mwanaume anadaiwa kutekwa kisha kudhalilishwa kijinsia na wanawake wanne kwa karibu wiki moja kabla ya kupigwa mawe na kutupwa katikati ya milima.Mateso ya muathirika huyo mwenye miaka 25 yalianza pale alipopata lifti ya gari kuelekea mji wa Mutare nchini Zimbabwe.Wanawake wawili na...
Share:

Saturday, April 27, 2013

AIBU: FATAKI LANASWA LIVE NA MWANAFUNZI GESTI WAKIWA UCHI WA MNYAMA WAKILA URODA..!!

MfanyabiAshara ‘alwatani’ Bongo, mkazi wa jijini Dar, Allain Tajiri amekumbwa na skendo nzito baada ya kufumaniwa na mwanafunzi wa sekondari wa kidato cha pili mwenye umri wa miaka 16.Tukio hilo la kusikitisha lilitokea Jumatano ya Aprili 24, mwaka huu katika chumba namba 107 kwenye gesti iitwayo...
Share:

Thursday, April 25, 2013

AIBU: WIMBI LA MAKAHABA LAZIDI KUONGEZEKA JIJINI DAR, COCO BEACH YAGEUZWA 'GUEST BUBU' NYAKATI ZA USIKU...!!

NI aibu sana! Ndivyo unavyoweza kusema juu ya Oparesheni ya Fichua Maovu iliyosimamiwa na Kamanda wa Polisi Wilaya ya Kinondoni, jijini Dar, OCD Wilbroad Mutafungwa na Ofisa wa Oparesheni, Inspekta Jacob Swai  alivyonasa wanawake wanaojishughulisha na mambo ya ngono usiku kucha. Katika oparesheni...
Share:

Friday, April 19, 2013

AIBU: MWANACHUO AVULIWA NGUO NA KUPEWA KICHAPO KIKALI BAADA YA KUIBA VIATU DUKANI.....!!

 Mrembo  huyu  aliyejitambulisha  kwa  ni mwanafunzi  wa chuo  kikuu  kimojawapo mjini Iringa akilia baada ya kupokea  kichapo kutoka kwa mwanamke mfanyabiashara  eneo la Miyomboni mjini Iringa baada ya  kuiba viatu  vya mtumba na kuficha...
Share:

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © 2025 GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger