Showing posts with label skendo. Show all posts
Showing posts with label skendo. Show all posts

Monday, April 25, 2016

Askofu wa KKKT Matatani kwa kashfa za kutembea na Mke wa Mtu

Askofu wa KKT Matatani kwa kashfa za kutembea na Mke wa Mtu DK. Alex Malasusa, Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Mashariki na Pwani, anatuhumiwa kujihusisha kimapenzi na mchungaji wa kanisa hilo ambaye ni mke wa mtu, anaandika Josephat Isango. Anayemtuhumu...
Share:

Friday, May 29, 2015

Kesi ya Mbasha Yakwama tena

Kesi ya ubakaji inayomkabili mwanamuziki wa nyimbo za injili ambaye ni mume wa Flora Mbasha kwenye mahakama ya hakimu mkazi Kisutu imesogezwa tena mbele  kutokana na kutokuwepo kwa mwendesha mashtaka anayeisimamia kesi hiyo.    Kesi hiyo ya Emmanuel Mbasha ilitakiwa kuendelea baada...
Share:

Thursday, December 5, 2013

VIDEO: AFUNGWA MIAKA 10 BAADA YA KUKAMATWA AKIMBAKA MBUZI....!!

Jamaa mmoja mwenye umri wa miaka 28 amehukumiwa kwenda jela miaka kumi mara baada ya kukutwa na hatia ya kufanya tendo la ngono na mbuzi.Katana KitsaoKatana Kitsao Gona toka Malindi nchini Kenya wiki iliyopita alikiri kufanya ngono na mnyama. Shuka chini kuangalia Video hiyo..... Mbuzi...
Share:

PICHA:TIMBWILI LAZUKA BAADA YA MWANAUME MMOJA KUGONGANISHA MKE NA KIMADA CHAKE WALIOKUJA KUMPOKEA AIRPORT....

 .MWANAUME mmoja aliyeelezwa kuwa ni tajiri mwenye nazo mjini, amezua tafrani na kusababisha timbwili la nguvu kwa dakika kadhaa baada ya kugonganisha wanawake wawili waliodaiwa kuwa chini ya miliki yake kwa wakati mmoja, subiri hapohapo tukujuze! Mtiti huo uliovuta hisia za wengi ulichukua...
Share:

Friday, November 15, 2013

CHANGUDOA AKIRI KUWA AMECHOSHWA NA UTUMWA WA NGONO..!

INAWEZEKANA umeshalizwa na mengi, umesikitishwa na vingi lakini stori ya dada Aziza Athumani (21), anayefanya biashara ya kuuza mwili wake, inatia uchungu sanaAziza anayefanya biashara ya kujiuza jijini Dar es Salaam kwa sasa ni mgonjwa lakini analazimika kuendelea na biashara hiyo ili aweze kujikimu.Sasa,...
Share:

Thursday, November 14, 2013

MADEMU WA SINZA NA KIJITONYAMA NA MAISHA YA KUIGIZA....!!

Umealikwa jioni na Mvulana(New Lover) Kwani ni lazima mje wanne na mbaya zaidi wote wanakunywa Savana na mmoja mwenye dozi yeye anakunywa Red Bull kwani lazima unywe Savana au Red Bull wakati kwa muonekano tu ni mtu wa Castle tena Lager au Maji ya Uhai.Unajuaje huyu Lover ametembea na Shs ngapi...
Share:

MAJANGA! MBUNGE WA CCM( PROFESA JUMA KAPUYA )ATISHIA KUJIUA BAADA YA SIRI ZAKE ZA KUMBAKA MSICHANA NA KUMWAMBUKIZA UKIMWI KUVUJA....

.MBUNGE wa Urambo Magharibi, Profesa Juma Kapuya (CCM), ameingia katika matata. Katika kujaribu kudhibiti mtoto wa shule ambaye anadai alibakwa naye na kuambukiwa virusi vya ukimwi, mbunge huyo ametoa vitisho vya kuua mtoto huyo na kujiua kama njia ya kuepuka dhahama inayoelekea kumkabili. ...
Share:

Wednesday, November 13, 2013

Waziri ambaka mwanafunzi wa miaka 14 jijini Dar na kumtishia kumuua ili uchafu wake usivuje....

MMOJA wa mawaziri wa Serikali ya Awamu ya Tatu na mbunge anayetoka Mkoa wa Tabora, anatuhumiwa kumbaka na kisha kutishia kumuua msichana yatima mwenye umri wa miaka 16 (jina limehifadhiwa) anayesoma Shule ya Sekondari Turiani iliyoko Magomeni jijini Dar es Salaam.  Waziri huyo (jina lake...
Share:

Tuesday, November 12, 2013

AIBU! DOKTA APIGWA TALAKA BAADA YA PICHA AKISALITI NDOA KUNASWA,MUME AZIMIA....

Salha Hassan na mumewe Abdullatif Mohamed siku walipofunga ndoa.DAKTARI wa Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja Zanzibar, Salha Hassan amejikuta akipigwa talaka na mume wake, Abdullatif Mohamed kufuatia picha zake chafu akiwa na mwanaume mwingine kunaswa kwenye simu yake mkononi, Uwazi limenyetishiwa.  Cheti...
Share:

RAIS KIKWETE AINGILIA KATI SAKATA LA MWINGIRA KUDAIWA KUZAA NA MKE WA MTU....

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, ameingilia kati sakata la Mtume na Nabii Josephat Mwingira kudaiwa kuzaa na mke wa mtu.Dk. Philis Nyimbi anayedaiwa kuzaa na Nabii Mwingira.JK, aliingilia kati sakata hilo baada ya mume wa mtu, Dk. William T. Morris, kukamatwa na...
Share:

Monday, November 11, 2013

NAPIGA PUNYETO MARA TANO KWA SIKU NAOMBA MSAADA ILI NIWEZE KUACHA TAFADHALI ...!!

Heshima kwenu wadau.mchezo niliunza mwaka 2008.mpaka .....nikiwa boarding kuuacha nilishindwa....nilivyooa nikapunguza kasi.....sasa mke yupo likizo takriban miez 2..mpaka muda huu naandika Ujembe huu najiandaa kupiga cha tano.....natamani niache.je nitumie njia ga...
Share:

"BOYFRIEND WANGU NIMPENDAE KWA DHATI AMEFUKUZWA KAZI NA SIONI SABABU YA KUOLEWA NAE TENA"......MDAU

“Mimi ni msichana wa miaka 23, Naishi Tabora nchini Tanzania nimejitokeza kwenu kushare tatizo Langu, nina imani mtanipa ufumbuzi sahihi. Mimi nina mchumba wangu ambaye tulipanga kuoana mwezinwa kumi na mbili ila sasa sioni umuhimu wa kufunga nae ndoa tena kwani mwanzo alikua na kazi yake, lakini sasa...
Share:

Tazama jinsi wanawake wa leo wanavyowadanganya wanaume.....Akijipaka mikorogo yake , bila kumhonga gari humpati..!!

Tazama  jinsi  wanaume  tunavyoibiwa  na  akina  dada  wa  leo.Picha  za  kushoto  ni  picha  origina  za  warembo  hawa  kabla  ya  kujipaka  make-up  na  mikorogo  mingine  na ...
Share:

Kenya yaiomba radhi Tanzania....yasema ilifanya kosa kosa kubwa kuibagua Tanzania ambayo ndio Mwanzilishi wa EAC

 SIKU nne tangu Rais Jakaya Kikwete alihutubie Bunge na kuweka bayana msimamo wa Tanzania katika Jumuiya ya Afrika Mashariki, Serikali ya Kenya imempongeza huku ikisisitiza kuwa nayo itaendelea kuwa mwanachama mwaminifu.   Katika hotuba yake, Rais Kikwete alieleza kusikitishwa...
Share:

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © 2025 GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger