Showing posts with label mapenzi. Show all posts
Showing posts with label mapenzi. Show all posts

Wednesday, May 18, 2016

Idris Sultan Amwandikia Wema Sepetu Ujumbe Mzito

Uhusiano wao umepitia misukosuko mingi ikiwemo kuachana mara kadhaa lakini Idris Sultan na Wema Sepetu hawajalikatia tamaa pendo lao. Ni muda mrefu tangu Idris aandike kitu kwenye mitandao ya kijamii kuhusu penzi lake na Wema baada ya kudai wameamua kuuweka uhusiano wao private kwa sasa. Lakini...
Share:

Monday, May 16, 2016

Gigy Money: Niko Kwenye Uhusiano wa Kimapenzi na Gardner Kwa Miezi 6 Sasa

Muuza sura kwenye video za Kibongo, Gift Stanford ‘Giggy Money’ amefunguka kuwa mtangazaji maarufu Bongo wa Clouds FM, Gardner G. Habash hachomoki kwake na hadi sasa wako kwenye uhusiano wa mapenzi kwa muda wa miezi sita. Gigy mefunguka haya baada ya picha zinazomuonesha akiwa kwenye mapozi...
Share:

Tuesday, May 10, 2016

Moses Iyobo Azungumzia Kupata Mtoto Mwingine wa Kiume na Aunt Ezekiel

Wakati mtoto wa Aunt Ezekiel na Mose Iyobo akikaribia kutimiza mwaka mmoja hivi karibuni, Mose amefunguka kuhusu kupata mtoto mwingine wakiume na mrembo huyo kutoka kiwanda cha filamu. Akizungumza na Bongo5, Mose amesema kwa sasa anafurahia maisha na mrembo huyo wa filamu na soon watapata mtoto...
Share:

Saturday, May 7, 2016

Hasira Za Ugomvi Wa Kimapenzi Zamalizikia Kwenye Range Rover Revere

Picha za gari lililokuwa na ujumbe wa kukasirisha uliochorowa katika gari hilo zimesambazwa mara elfu katika mtandao wa Twitter. Gari hilo jeupe aina ya Range Rover Revere lenye bei ya Kuanzia pauni 75,000 lilionekana limeegeshwa karibu na Harrods magharibi mwa London na kuchorwa ujumbe...
Share:

Tuesday, May 3, 2016

Idris Asema Amekoma Kuweka Wazi Masuala ya Mahusiano Yake ya Mapenzi

Mshindi wa shindano la Big Brother Africa 2014, Hotshots Idris Sultan, amesema misukosuko aliyoipata baada ya kuweka wazi maisha ya mahusiano yake na malkia wa filamu, Wema Sepetu, imetosha. Akizungumza na Bongo5 Ijumaa hii, Idris amesema kwa sasa hawezi tena kukaa mbele ya mwandishi wa habari...
Share:

Sunday, May 1, 2016

Auawa na Mdogo wake Baada ya Kumfumania Akifanya Mapenzi na Mkewe

Mkazi wa Mahembo Manyanda Manyilizu (40) ameuawa kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali kichwani na mdogo wake baada ya kumfumania akiwa na mkewe. Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Dismas Kisusi alisema jana kuwa tukio hilo lilitokea juzi katika Kijiji cha Mawemilu. “Manyilizu ...
Share:

Friday, October 9, 2015

Nisha: "Sababu ya kuingia kwenye uhusiano wa kimapenzi na Baraka ni kuhitaji penzi la kweli na si vinginevyo.

 Staa wa Filamu za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amesema kuwa sababu ya kuingia kwenye uhusiano wa kimapenzi na Mwanamuziki Baraka Da Prince ni kuhitaji penzi la kweli na si vinginevyo.  Akipiga stori na Ijumaa, Nisha alisema kuwa watu wamekuwa wakimsengenya kwa kudai kuwa eti yeye kuwa...
Share:

Friday, May 29, 2015

Jokate Mwegelo: "Yaani Kiba Ndio Kila Kitu Kwangu,ila...."

Mrembo Jokate Katika Pozi MREMBO mchakarikaji Bongo,  Jokate Mwegelo ‘Kidoti’, juzikati aliamua kuvunja ukimya na kusema kuwa mwanamuziki Ali Kiba kwa sasa ndiye kila kitu katika mambo yake mengi ya kimaisha.Akizungumza na Ijumaa Jokate alisema, watu wanaongea sana kuhusiana na ukaribu wao bila...
Share:

Davina: "Nikiachika ndoa tena basi...."

Staa wa filamu za Bongo, Halima Yahya ‘Davina’. Staa wa filamu za Bongo, Halima Yahya ‘Davina’ ameibuka na kusema kuwa kama itatokea ndoa yake ikawa ndiyo imevunjika kabisa hatarajii kuolewa tena, itakuwa ndiyo imetosha. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Davina alisema anamshukuru Mungu kwa...
Share:

Thursday, December 5, 2013

PICHA:TIMBWILI LAZUKA BAADA YA MWANAUME MMOJA KUGONGANISHA MKE NA KIMADA CHAKE WALIOKUJA KUMPOKEA AIRPORT....

 .MWANAUME mmoja aliyeelezwa kuwa ni tajiri mwenye nazo mjini, amezua tafrani na kusababisha timbwili la nguvu kwa dakika kadhaa baada ya kugonganisha wanawake wawili waliodaiwa kuwa chini ya miliki yake kwa wakati mmoja, subiri hapohapo tukujuze! Mtiti huo uliovuta hisia za wengi ulichukua...
Share:

Wednesday, December 4, 2013

"NIACHENI NA CHUCHU WANGU,KIFUPI NDIYE MKE WANGU...." RAY AFUNGUKA BAADA YA KUWA NA SKENDO YA KUTEMBEA NA CHUCHU MKE WA MTU

 .Akizungumza wikiendi iliyopita katika Viwanja vya TCC Chang’ombe jijini Dar es Salaam ambapo kulikuwa na mechi kati ya wasanii wa Bongo Fleva na Bongo Muvi, Ray aliwashangaa waandishi kwa kumshambulia kutoka kimapenzi na Chuchu. Mwandishi alianza kwa kumwuliza: “Ray magazeti yanaandika...
Share:

Tuesday, November 19, 2013

SHOSTI UNA UHURU WA KUFUNGUKA KWA MUMEO?

 ASALAAM alaikum/Bwana Yesu asifiwe!Bila shaka ni wazima wa afya na mnaendelea vema na kazi zenu za kulijenga taifa, kwa wale wagonjwa nawaombea kwa Mwenyezi Mungu inshalla atawaponya na kwa waliokutwa na misiba nawaombea subra ishallah Mungu awapatie moyo wa uvumilivu.Bila kuwachosha leo nakuja...
Share:

Wednesday, November 13, 2013

MKE WANGU AME-LOCK SIMU YAKE KWA PASSWORD..NAHISI KUIBIWA

''Nampenda sana mke wangu, ni miezi sita tu toka tufunge ndoa!!!sitaki kumuudhi wala kumkera kwa lolote, namtimizia kila kitu ili mradi tu asipate vishawishi vya kutoka nje ya ndoa!toka tuanze mahusiano yetu ya kindoa, mke wangu alikuwa msikivu sana kwangu, kila ninalo mwambia amekuwa  akinisikiliza!...
Share:

NENO (NAUMIA) WAKATI WA TENDO LA NDOA LANIVYOTATIZA WAPENZI KITANDANI...!!

Kwakifupi nihivi:-Kila tufanyapo tendo la ndoa, mwenzangu hutoa kilio pasipo machozi, huku ameikunja sura yake na wakatihuo hutamka neno naumia. Hiikiti imekua inanipa wakati mgumu na kunifanya nimuonee huruma mpenziwangu na kumuuliza, nitoke? chakushangazi yeye hukataa na kuonyesha kufurahia tendo.Maswali:-Je,...
Share:

Tuesday, November 12, 2013

PENZI LA KAJALA NA PETIT MAN LADAIWA KUSAMBARATIKA, MDOGO WA VANESSA MDEE ADAIWA KUTOKA NA PETIT MAN.

Habari ni kuwa penzi la muigizaji wa filamu Swahiliwood Kajala Masanja na Petit Man Wakuache amabaye ni mfanyakazi wa Wema Sepetu katika kampuni ya Endless Fame Production limeota mbawa na kwasasa Petit Man anatoka na mdogo wake Vanessa Mdee.Hata hivyo wawili hao hawakuweza...
Share:

JAMANI MWANAMKE MSAIDIE MUMEO ASIYEKUWA NA ‘NGUVU ZA UMEME’...

ASALAM alaikumu/Bwana Yesu asifiwe!Leo nitaongelea mada kali kidogo ambayo inawakuta wanandoa wengi lakini wanaishia kunyamaza kwani hawana pa kusemea.Kuna baadhi ya akina mama wanalalamika na wengine wanadiriki kutoka nje ya ndoa, ukiuliza...
Share:

Monday, November 11, 2013

"MIGUNO YA KIMAHABA KUTOKA CHUMBA CHA MPANGAJI MWENZANGU INANIPAGAWISHA SANA".... NIFANYEJE?

Mimi ni Kijana wa Miaka 25, Mimeanza kazi hivi karibuni ikanilazimu kutoka nyumbani na kupanga maeneo ya kijitonyama ...Sasa hiyo nyumba niliyopanga kuna wapangaji wengine mmoja  ni mwanamke ambae dirisha lake lipo karibu na chumba changu...sasa kila usiku ninapata shida kwa kelele za...
Share:

NAPIGA PUNYETO MARA TANO KWA SIKU NAOMBA MSAADA ILI NIWEZE KUACHA TAFADHALI ...!!

Heshima kwenu wadau.mchezo niliunza mwaka 2008.mpaka .....nikiwa boarding kuuacha nilishindwa....nilivyooa nikapunguza kasi.....sasa mke yupo likizo takriban miez 2..mpaka muda huu naandika Ujembe huu najiandaa kupiga cha tano.....natamani niache.je nitumie njia ga...
Share:

SINTAH AWACHANA VING'ANG'ANIZI WA MABWANA...!!

"This goes out to my ladies ambao ni glues heee kama superglue yaani wanajifanya wenyewe tutabanana hapa hapa, jamani kama mwanamme hakupendi muache maana kuna other potentials out there  unakazana na asie wako ili iweje??jamani penny hausiki ktk hili maana anaishi na dimondo so naombeni kwa...
Share:

"BOYFRIEND WANGU NIMPENDAE KWA DHATI AMEFUKUZWA KAZI NA SIONI SABABU YA KUOLEWA NAE TENA"......MDAU

“Mimi ni msichana wa miaka 23, Naishi Tabora nchini Tanzania nimejitokeza kwenu kushare tatizo Langu, nina imani mtanipa ufumbuzi sahihi. Mimi nina mchumba wangu ambaye tulipanga kuoana mwezinwa kumi na mbili ila sasa sioni umuhimu wa kufunga nae ndoa tena kwani mwanzo alikua na kazi yake, lakini sasa...
Share:

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © 2025 GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger