
Jeshi
la Polisi mkoani Ruvuma linamshikilia mkazi wa eneo la Bombambili,
Manispaa ya Songea kwa tuhuma za kukutwa akimbaka mtoto wa miaka saba
anayesoma darasa la pili.
Kamanda
wa Polisi Mkoa wa Ruvuma, Zuber Mwombeji alisema mtuhumiwa alitenda
kosa hilo Mei 18 mwaka huu saa 11 jioni...