Showing posts with label wasanii. Show all posts
Showing posts with label wasanii. Show all posts

Friday, May 20, 2016

Video: Giggy Money 'Bora Ningetembea Na Marehemu Kinyambe Kuliko Nay wa Mitego'

 Credit: GlobalPublish...
Share:

Diamond Atajwa Kuwania Tuzo za BET 2016

Diamond Platinumz anaendelea kupaa katika ulimwengu wa muziki kimataifa ambapo mwaka huu pia nyota yake imeng’aa kwenye tuzo kubwa za Black Entertainment Television (BET 2016). Mwimbaji huyo ametajwa kuwania kipengele cha Best International Act: Africa akichuana na wasanii wengine nguli...
Share:

Gardner Amjibu Lady JayDee Kuhusu Kumtaka Kumuomba Radhi Hadharani

Hatimaye mtangazaji wa Clouds Fm, Gardner G. Habash amemjibu aliyekuwa mkewe, Lady Jay Dee, aliyemtaka aombe radhi ndani ya siku saba kwa kauli aliyoitoa iliyodaiwa kuwa imelenga kumdhalilisha. Katika majibu yake amekana madai hayo. Siku chache zilizopita, Gardner alionekana katika kipande...
Share:

Thursday, May 19, 2016

Wema Sepetu Afunguka Haya Kuhusu Alikiba

Msanii wa filamu nchini Wema Sepetu amefunguka na kusema kuwa msanii Alikiba ni mtu wa kumuacha kutokana na uwezo wake wa kuimba na namna ambavyo anaweza kuipangilia sauti yake kwenye muziki. Wema Sepetu amezidi kuonyesha mapenzi aliyonayo kwenye kazi za msanii Alikiba na kusema huwa zinamkosha...
Share:

Ali Kiba Asaini Mkataba na Kampuni kubwa ya Muziki duniani ya Sony jijini Johannesburg, Afrika Kusini

Mwimbaji staa wa bongofleva Alikiba leo amesaini mkataba na  Sony Music , kampuni kubwa ya muziki inayofanya kazi na mastaa wa dunia kama Beyonce, John Legend na Chris Brown. Moja ya kazi za mkataba huo ni kumtengeneza Alikiba kweye kiwango cha juu zaidi kimuziki, kibiashara na kugharamia...
Share:

Rose Ndauka Atoa Siri ya Mambo Yake Kumnyookea

 MKALI wa filamu Bongo, Rose Ndauka ametoa siri ya mambo yake kumnyookea kuwa imetokana na kumuhusisha Mungu kwa kila anachokifanya na wala si vinginevyo kama watu wanavyodhania. Akizungumza na Amani, Rose ambaye kwa sasa anamiliki kampuni inayojishughulisha na kutengeneza Jarida la...
Share:

Nay: Gigy Anatafuta Kiki Kwangu

MKALI wa Ngoma ya Saka Hela, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ ameamua kumfungukia muuza nyago kwenye video za Kibongo, Gift Stanford ‘Gigy Money’ kuwa anatafuta kiki kutumia jina lake katika mahojiano anayofanya na vyombo mbalimbali vya habari. Akichonga na Showbiz Xtra, Nay alisema kuwa...
Share:

Video: Giggy Money Adai kuwa Hata Akiwa Hawara Kwa Matonya Hamna Shida

Story ambazo zilisambaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa Matonya kwa sasa anatoka kimapenzi na Giggy Money huku wakisikika kuwa ni kick ya ngoma yao ya Supu. Katika mahojiano waliyofanya na ENewz wote wawili walishindwa kukubali moja kwa moja kuwa wameanguka pamoja kitandani au hawajaanguka...
Share:

Shilole: Wanaume Suruali Wasio na Pesa Sasa Basi

MSANII wa Muziki wa Kizazi Kipya, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amefunguka kuwa kuanzia sasa hataki tena kuwa na mwanaume suruali, bali anahitaji mtu mwenye nazo, ndiyo maana ameamua kufanya kazi kwa bidii. Akilonga na Risasi Vibes, Shilole alisema kuwa kwa sasa ameamua kukaa singo kwa sababu ameona...
Share:

Feza na Lulu Wajitosa Kwenye Bifu ya Vanessa na Shilole

Msanii wa filamu Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Feza Kessy wamejitosa kwenye bifu la Shilole na Vanessa Mdee ambalo linaendelea katika mitandao ya kijamii. Chanzo cha bifu ya Shilole na Vanessa hakijatambulika, lakini wawili hao toka jana wamekuwa wakirushiana maneno makali na vitisho katika mitandao...
Share:

Wednesday, May 18, 2016

Vanessa Mdee Vs Shilole Hali ni Tete Instagram, Wapigana Vijembe Laivu

Ni juzi tu tuliona video ya msanii wa kimataifa vanessa mdee akimfundisha yai local artist Shishi baby salon cha ajabu ni leo ghafla wamenza kutupiana maneno uko instagram shilole alianza na ujumbe huu. Haikuchukua mda nae vanessa mdee v. money amendika maneno haya kupitia instagram account...
Share:

Idris Sultan Amwandikia Wema Sepetu Ujumbe Mzito

Uhusiano wao umepitia misukosuko mingi ikiwemo kuachana mara kadhaa lakini Idris Sultan na Wema Sepetu hawajalikatia tamaa pendo lao. Ni muda mrefu tangu Idris aandike kitu kwenye mitandao ya kijamii kuhusu penzi lake na Wema baada ya kudai wameamua kuuweka uhusiano wao private kwa sasa. Lakini...
Share:

Tuesday, May 17, 2016

Faiza Atoa Sababu za Kwanini Hajatoka na Mtanzania Tangu Aachane SUGU

Msanii wa filamu na Mama wa mtoto mmoja aitwae Sasha, Faiza Ally amedai hajawahi kufanya mapenzi na mtanzania yeyote toka aachane na aliyekuwa mume wake Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ kwa madai kuwa anaogopa kuzalilishwa. Muigizaji huyo amesema hali hiyo imekuja kutokana na matukio ya uzalilishaji...
Share:

Monday, May 16, 2016

Gigy Money: Niko Kwenye Uhusiano wa Kimapenzi na Gardner Kwa Miezi 6 Sasa

Muuza sura kwenye video za Kibongo, Gift Stanford ‘Giggy Money’ amefunguka kuwa mtangazaji maarufu Bongo wa Clouds FM, Gardner G. Habash hachomoki kwake na hadi sasa wako kwenye uhusiano wa mapenzi kwa muda wa miezi sita. Gigy mefunguka haya baada ya picha zinazomuonesha akiwa kwenye mapozi...
Share:

Saturday, May 14, 2016

Lady Jay Dee Sasa Kuitafuta Haki yake Kwa Njia ya Mahakama..Amtaka Gadner Kuomba Msamaha Mbele ya Umma

Lady Jay Dee Sasa Kuitafuta Haki yake Kwa Njia ya Mahakama.Amtaka Gadner Kuomba Msamaha Mbele ya Umma la sivyo hatua za kumpeleka Mahakani zitaendelea, Soma Hii Hapa Chini: ...
Share:

Aunt Ezekiel, Mose Iyobo Pamoja na Mtoto Wao ‘Cookie’ Kuandaa Filamu ya Pamoja

Msanii wa filamu, Aunt Ezekiel na mpenzi wake Mose Iyobo pamoja na mtoto wao ‘Cookie’, wapo kwenye mchakato wa kuandaa filamu ya fimilia. Mose Iyobo ambaye pia ni dancer wa Diamond, ameiambia Bongo5 kuwa tayari wapo kwenye mchakato wa kauandaa kazi hiyo. “Kuna kazi za filamu zinakuja,...
Share:

Friday, May 13, 2016

TIGO Yakata Rufaa Kupinga Kuwalipa AY na Mwana FA Shilingi Bilioni 2.18

Kampuni ya simu ya MIC Tanzania (Tigo) imekata rufaa kupinga hukumu iliyoamuru iwalipe Sh2 bilioni wanamuziki wawili, Ambwene Yesaya na Hamisi Mwinjuma kutokana na kutumia bila ya ridhaa yao, nyimbo za wasanii hao nyota nchini. Yesaya, ambaye ni maarufu kwa jina la kisanii la AY na...
Share:

Ya Snura Yamkuta Gigy Money!

ZIKIWA ni siku chache zimepita tangu staa wa Muziki wa Bongo Fleva, Snura Mushi kufungiwa video yake ya Chura na kutakiwa kuitengeneza upya, Video Queen, Gift Stanford ‘Gigy Money’ naye amejikuta akikumbana na rungu la Baraza la Sanaa Tanzania (Basata) kufuatia kusambaza kava la video ya wimbo...
Share:

Picha: Mafikizolo Toka South Na Diamond Platinumz Wafunika Vibaya Tamasha La Vodacom Chuo Kikuu cha Dodoma

Mwanamuziki wa kizazi kipya Nasibu Abdul “Diamond Platinums” pamoja na kundi la muziki la Mafikizolo wakiimba wimbo wao wa Color of Afrika wakati wa Tamasha la Vodacom Kichuo zaidi lillilofanyika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM)   Mwanamuziki wa kizazi kipya Nasibu Abdul “Diamond Platinums”...
Share:

Thursday, May 12, 2016

Update: Kifo cha Msanii wa Uchekeshaji 'KINYAMBE' Kimesababishwa na Uvimbe Tumboni

Mchekeshaji maarufu nchini Tanzania kutoka katika Kundi la Vituko Show, Mohammed Abdallah ‘Kinyambe’ amefariki dunia Jumatano hii baada ya kusumbuliwa kwa muda mrefu na uvimbe tumboni. Taarifa za kifo chake zilianza kuzagaa jana katika mitandao ya kijamii baada ya wasanii wa filamu kuanza...
Share:

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © 2025 GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger