Showing posts with label bongo. Show all posts
Showing posts with label bongo. Show all posts

Friday, October 11, 2013

MAGAZETI YA BONGO LEO 11/10/2013.....

.................. ..............
Share:

Sunday, May 12, 2013

UPDATE: MATOKEO MABOVU YA KIDATO CHA NNE KUCHELEWESHA MATOKEO YA KIDATO CHA SITA...!!

 Matokeo ya mtihani wa kidato cha sita yaliyotarajiwa kutangazwa mwezi  huu yatachelewa  ili kutoa nafasi kwa Baraza la Mitihani la Taifa (Necta),  kurekebisha matokeo mabaya ya mitihani  kidato cha nne ya mwaka jana yaliyofutwa na serikali  mwezi huu.Matokeo ya kidato...
Share:

Wednesday, May 8, 2013

SKENDO: MWALIMU AUAWA BAADA YA KUZINI NA MKE WA ASKOFU...!!

Kakamega, KenyaKUNDI la watu wenye hasira huko Kakamega  lilimpiga hadi kumwua mwalimu ambaye alibambwa akifanya mapenzi na mke wa askofu.Askofu huyo alikuwa akiendesha ibada ya mazishi kijijini Tomboo, Jimbo la Malava.Mkuu wa Wilaya ya Kakamega Kaskazini,  Gideon Ombongi , alisema mwalimu...
Share:

Tuesday, May 7, 2013

"MIMI NI LEGEND WA BONGOFLEVA.....NITASHIRIKIANA NA LADY JAYDEE BEGA KWA BEGA.....SIWEZI KUFUATA MANANEO YA RUGE"....PROFESSA J.

Lady Jay Dee                                              Professa JayFahamu hiki alichokisema professa Jay kuhusu miaka 13 ya Lady Jay Dee Baada ya Lady Jay Deekutangaza siku ya kuachia...
Share:

Monday, May 6, 2013

BAADA YA CLOUDS KUGOMA KUPIGA NYIMBO ZA BONGO FLEVA LEO, TIMES FM WAWAJIBU KWA KUSEMA "LEO SISI NI BONGO FLEVA MPAKA KUCHWEE, HASIRA YA MKIZI FURAHA KWA KUNGURU"......!!

Kwa Kutumia Kilicho chetu , Asili yetu na Muziki wetu leo katika vipindi vyote utaskikia muziki wa nyumbani wa BONGO FLEVA kwa asilimia Kub...
Share:

Sunday, May 5, 2013

LINAH NA BARNABA WASUSIA SHOW YA MIAKA 13 YA LADY JAY DEE...!!

Linah na Barnaba wameiambia Bongo5 kuwa hawatakuwepo kwenye show ya miaka 13 ya muziki ya Lady Jaydee itakayofanyika May 31, kwa kile walichodai ni kutoafikiana kwenye malipo.Wamesema licha ya kuendelea kuwepo kwa majina yao kwenye poster ya show hiyo, hawatotumbuiza siku hiyo.“Dada yetu alituita,...
Share:

Friday, May 3, 2013

NGASSA AINYIMA USINGIZI SIMBA, ADAI HANA MKATABA NAO TENA....!!

UONGOZI wa Klabu ya Simba umetamka na kusisitiza kuwa kiungo wao, Mrisho Ngassa, amebakisha mkataba wa mwaka mmoja zaidi klabuni hapo, lakini mchezaji huyo amesema hana mkataba.Simba imetoa tamko hilo baada ya kiungo huyo kutangaza dau la shilingi milioni 150 kwa timu itakayomhitaji ikiwemo Simba...
Share:

Tuesday, April 30, 2013

HAMMER Q AMCHAKAZA NA KUMTOA MANUNDU MKEWE MARA BAADA YA KUMTAMBULISHA KWA TX MOSHI...!!

Baadhi ya picha za mkewe baada ya kipigoNguo za Hammer Q zikiwa zimetapakaa damuHiki ni kipigo ambacho  Salha  alikipata baada ya kumtambulisha rafiki yake wa kiume ambae ni Tx Moshi kwa mumewe Hammer Q.Baada  ya  utambulisho  huo....sinema  ya  ngumi  na ...
Share:

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © 2025 GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger