Matokeo ya mtihani wa kidato cha sita yaliyotarajiwa kutangazwa mwezi huu yatachelewa ili kutoa nafasi kwa Baraza la Mitihani la Taifa (Necta), kurekebisha matokeo mabaya ya mitihani kidato cha nne ya mwaka jana yaliyofutwa na serikali mwezi huu.Matokeo ya kidato...
Kakamega, KenyaKUNDI la watu wenye hasira huko Kakamega lilimpiga hadi kumwua mwalimu ambaye alibambwa akifanya mapenzi na mke wa askofu.Askofu huyo alikuwa akiendesha ibada ya mazishi kijijini Tomboo, Jimbo la Malava.Mkuu wa Wilaya ya Kakamega Kaskazini, Gideon Ombongi , alisema mwalimu...
Linah na Barnaba wameiambia Bongo5 kuwa hawatakuwepo kwenye show ya miaka 13 ya muziki ya Lady Jaydee itakayofanyika May 31, kwa kile walichodai ni kutoafikiana kwenye malipo.Wamesema licha ya kuendelea kuwepo kwa majina yao kwenye poster ya show hiyo, hawatotumbuiza siku hiyo.“Dada yetu alituita,...
UONGOZI wa Klabu ya Simba umetamka na kusisitiza kuwa kiungo wao, Mrisho Ngassa, amebakisha mkataba wa mwaka mmoja zaidi klabuni hapo, lakini mchezaji huyo amesema hana mkataba.Simba imetoa tamko hilo baada ya kiungo huyo kutangaza dau la shilingi milioni 150 kwa timu itakayomhitaji ikiwemo Simba...
Baadhi ya picha za mkewe baada ya kipigoNguo za Hammer Q zikiwa zimetapakaa damuHiki ni kipigo ambacho Salha alikipata baada ya kumtambulisha rafiki yake wa kiume ambae ni Tx Moshi kwa mumewe Hammer Q.Baada ya utambulisho huo....sinema ya ngumi na ...