MBEYA
Mshtuko! Tofauti na utaratibu uliozoeleka, maiti ya aliyekuwa sangoma maarufu, Mzee Kalinga (80), mkazi wa Kijiji cha Chimala Muwale Wilaya ya Mbarali jijini hapa aliyeaga dunia akiwa na wake 15, watoto 102, wajukuuu 216 na vitukuu 16, imezikwa usiku ikiwa na masharti kibao.Tukio hilo lilijiri...
Showing posts with label vituko. Show all posts
Showing posts with label vituko. Show all posts
Monday, April 25, 2016
Tuesday, December 3, 2013
"NI KWA WAPUMBAVU WANAOANDIKA UJINGA WANIKWAZE,KAMA HUNIPENDI U BETTER F**K OFF!" IRENE AFUNGUKA BAADA YA MASHABIKI WAKE KUMSHAMBULIA

.Hapo jana mwanadada Irene uwoya aligeuka mada ya mtandao mmoja maarufu wa kijamii baada ya kuweka picha ya mwigizaji wa marekani Vin Diesel ikiwa na maneno ya “R.I.P – Bwana ametoa na bwana ametwaa” kwa jamaa huyo kuwa amefariki kitu ambacho sio kweli na ndipo mashabiki walipoanza kumshambulia...
Tuesday, October 15, 2013
VIDEO: MWANAUME AMFUNGA GIRLFRIEND WAKE NA KUFULI KUMZUIA ASIMSALITI....!!

Mwanaume mmoja huko Mexico amlazimisha girlfriend wake kufunga na kufuli jeans yake ili awe mwaminifu kwake.Mwanamke huyo mwenye miaka 25 ambaye hakutambulika moja kwa moja alienda polisi huko Veracruz na kusema kwamba anasikia maumivu baada ya kushindwa kwenda kujisaidia haja ndogo kwa muda mrefu.Aliwaambia...
Monday, October 14, 2013
HII NDO 'WHEN U DO ME I DO U' BAADA YA WEMA NA DIAMOND KUPIGA PICHA ZA KUMUUMIZA PENNY,SASA PENNY NAYE ALIPIZA KISASI...!!
Raheeem akiwa kwenye pozi na Mwanadada Penny Ama Kweli Mapenzi Kizunguzungu na Ukuyafuatilia Unaweza Ukazimia.Mapenzi ni kama Mchezo wa Karata Ukukosea Kwa Mastaa anakupiku Mwenzako.Hii ni Baada ya Mwanadada Peeny Kuoneakana na Mshakaji ambaye Tulianza Kumuongelea Humu Humu "Raheem Da Prince"...
Sunday, October 13, 2013
VIDEO: MWANAMKE AWEKA MTO KWENYE NGUO YAKE YA NDANI ILI MAKALIO YAWE MAKUBWA KUWAVUTIA WANAUME....

Mwanamke huyo ambaye hajiamini alionekana mtaani akiwa na makalio makubwa feki. Aliweka mto kwenye nguo yake ya ndani ili aonekane ana makalio makubwa. Wanawake wengine wako tayari kufanya lolote ili wawavutie wanaume.Ila the funny part is,upande mmoja wa makalio yake ni mkubwa kuliko mwingine....Angalia...
Thursday, May 23, 2013
ANGALIA VIDEO YA MTANGAZI ALIYAEAMUA KUNYONYA MATITI YA MWANAMKE LIVE WAKATI WA KIPINDI CHAKE...!!

Mtangazaji wa kituo kimoja cha Televisheni nchini Uholanzi aliacha watazamaji wamepigwa na butwaa baada ya kunyonya matiti na kunywa maziwa moja kwa moja kutoka mama mmoja wakati wa kipindi chake.Mtangazaji huyo, Paul de Leeuw, alikuwa amealika kundi la wanawake kutoka asasi moja ambayo inaruhusu...
Tuesday, May 21, 2013
VITUKO: ANGALIA VIDEO YA MKENYA ANAYELIA BAADA YA OBAMA KUPANGA KUJA TANZANIA NA KUIKACHA KENYA..!!
Angalia hiyo video “Obama skips Kenya; a frustrated Kenyan responds” Jamaa amenichekesha. Kamuahidi mpaka kumpa kukuANGALIA VIDEO YENYEWE HAPO CHINI...
Monday, May 20, 2013
BINTI AKIMBILIA UINGEREZA KUKWEPA KUTOA URODA KWA MFALME MSWATI WA SWAZILAND....!!

Msichana mdogo ameomba hifadhi ya ukimbizi nchini Uingereza baada ya kukataa kwa dharau harakati za ndoa za wake wengi za Mfalme Mswati III wa Swaziland na kugoma kujiunga kwenye nyumba harimu ya wake 13. Tintswalo Ngobeni, mwenye umri wa miaka 22, alitimkia Uingereza kutoka taifa hilo la...
AFANDE SELE AGOMA KULA SIKU MBILI MARA BAADA YA SIMBA KUPAKATWA(KUFUNGWA) NA YANGA...!!

Soccer ni mchezo wenye mashabiki wengi sana duniani na kuna wengine wako tayari kufanya usivyoweza kutegemea, hata kujitoa uhai.Jumamosi (May 18) kulikuwa na mpambano wa watani wajadi Simba na Yanga na timu ya Simba iliupoteza mchezo huo kwa kufungwa magoli 2 kwa bila na Yanga.King Selemani ama Afande...
Sunday, May 19, 2013
Saturday, May 4, 2013
HUYU NDIYE MWANAUME ALIYELAZWA KWENYE WODI YA AKINA MAMA KWENYE HOSPITALI YA AMANA..!!

Katika hali ya kushangaza, mwanaume mwenye asili ya Kiarabu aliyetambulika kwa jina la Karina Mohamed (20), aliwaacha midomo wazi madaktari, wauguzi na wagonjwa wa Hospital ya Amana, jijini Dar baada kulazwa katika wodi ya wanawake akidhaniwa ni mwanamke. Kwa mujibu wa chanzo makini, mgonjwa...
Wednesday, April 24, 2013
SAKATA LA MREMBO ANAYEIBA MADUKANI KWA KUTUMIA 'CHUMA ULETE' , ANASWA NA KUAMBULIA KICHAPO KIKALI...!!

MREMBO mmoja, Rukia Omari mkazi wa Mbezi Beach jijini Dar amebambwa akidaiwa kuiba fedha kwa njia za miujiza eneo la Bunju Mwanjenje kwenye duka la Wapemba. Akiojiwa na mwandishi baada ya kukamatwaImeelezwa kuwa katika tukio hilo, Rukia alichukua fedha kimiujiza dukani na kutokomea, hali iliyosababisha...
Monday, April 22, 2013
MKASA:"NIMENYOLEWA NYWELE ZOTE ZA SEHEMU ZA SIRI NA WACHAWI USIKU"....!!!
Naitwa Prisca mwenyeji wa mkoa wa Arusha, napenda nishuhudie kitu ambacho kimetokea maishani mwangu hadi kupelekea kuokoka. Mwaka 2010, kwa sababu ya kutafuta maisha nilikwenda zanzibar kuishi huko na nilipata chumba cha kupanga maeneo ya airport na niliishi vizuri tu na majirani ambao tulikua tumepanga pamoja na kama binadamu ukiwa bado unayapenda ya dunia na shetani ametawala maisha yako niliamua...
Sunday, April 21, 2013
MKASA: RAFIKI YANGU ANANIMEGEA MAMA YANGU MZAZI....NIFANYEJE?....!!!
Hii imetokea wiki kadhaa zilizopita.Kijana mmoja jirani yangu ana rafiki yake. Walikuwa wanasoma pamoja. Ni marafiki wakubwa ambao hata wazazi wanajua. Walikuwa wanasoma pamoja na kushirikiana mambo mengi.Kijana kaenda shule hakumkuta rafiki yake. Kuuliza akaambiwa anaumwa. Kwa mapenzi aliyo nayo kwa rafiki yake akaamua arudi nyumbani abadili nguo ili akamtembelee rafiki yake mgonjwa. Hapo ndipo...
Wednesday, April 17, 2013
Monday, April 15, 2013
MUME WA MTU NUSURA AUAWE NA KAHABA BAADA YA KUGOMA KUMPA MALIPO YAKE....!!

WAKATI Oparesheni Fichua Maovu katika jamii inayoendeshwa na Global ikiwa kazini, wikiendi iliyopita ilinasa timbwili zito la aina yake kwa mwaka 2013 ambapo mume wa mtu, Joseph Hussein (31), nusura auawe na kimada...Hatoki mtu hapa: Joseph Hussein akiburuzana na kimada wake Neema Samson baada...
Sunday, April 14, 2013
"MIGUNO YA KIMAHABA KUTOKA CHUMBA CHA MPANGAJI MWENZANGU INANIPAGAWISHA".... NIFANYEJE?

Mimi ni Kijana wa Miaka 25, Mimeanza kazi hivi karibuni ikanilazimu kutoka nyumbani na kupanga maeneo ya kijitonyama ...Sasa hiyo nyumba niliyopanga kuna wapangaji wengine mmoja ni mwanamke ambae dirisha lake lipo karibu na chumba changu...sasa kila usiku ninapata shida kwa kelele za huyo...
BAADA YA ONGEZEKO LA VICHAA WENYE MIMBA KUWA WENGI MITAANI......... MBUNGE AITAKA SERIKALI IFUNGUE CHUO CHA KUFUNDISHA WANAUME KUTONGOZA WANAWAKE WENYE AKILI TIMAMU....!!

Mbunge wa Viti Maalum, Leticia Nyerere (Chadema), ameitaka Serikali kuanzisha chuo maalumu kwa ajili ya kuwafundisha wanaume jinsi ya kutongoza wanawake.Akiuliza swali bungeni jana, Nyerere alisema hali hiyo itawezesha wanaume kuachana na ngono ya dezo kwa kuwafuata walemavu wa akili (vichaa),...
Saturday, April 13, 2013
Friday, April 5, 2013
Huyu Ndio Polisi Mjinga Kuliko Wote Africa,Aelekeza Bunduki Matakoni mwake...!!

Gazeti moja huko South Africa limeweza kumpiga Picha Askari huyu huku akiwa amekalia bomba la bunduki kama inavyonesha kwenye picha hapo bila kuogopa kama inaweza jilipua kwa bahati mbaya ...Gazeti hilo likaamua kumpa cheo cha Polisi Mjinga kuliko wote Africa....Can you do like Th...