Showing posts with label SKEND. Show all posts
Showing posts with label SKEND. Show all posts

Tuesday, December 3, 2013

"NI KWA WAPUMBAVU WANAOANDIKA UJINGA WANIKWAZE,KAMA HUNIPENDI U BETTER F**K OFF!" IRENE AFUNGUKA BAADA YA MASHABIKI WAKE KUMSHAMBULIA

 .Hapo jana mwanadada Irene uwoya aligeuka mada ya mtandao mmoja maarufu wa kijamii baada ya kuweka picha ya mwigizaji wa marekani Vin Diesel ikiwa na maneno ya “R.I.P – Bwana ametoa na bwana ametwaa” kwa jamaa huyo kuwa amefariki kitu ambacho sio kweli na ndipo mashabiki walipoanza kumshambulia...
Share:

Tuesday, May 14, 2013

KASHFA YA WABUNGE WA KIKE KUJICHUBUA YAIBUA MJADALA MZITO...!!

KUMBE! Baadhi ya wabunge wa kike ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wanatumia vipodozi vinavyochubua ngozi ya juu ya mwili ili wawe na mwonekano mweupe (kama wazungu). Kauli hiyo ya kushangaza ilitolewa bungni Mei 9, mwaka huu na Mbunge wa Nkasi Kaskazini, Ally Kessy wakati alipokuwa...
Share:

MFANYABIASHARA WA MADINI ANAYEDAIWA KUMUUA ASKARI APANDISHWA KIZIMBANI...!!

MFANYABIASHARA wa madini ya tanzanite, Lawi Abayo (33) amefikishwa kwenye Mahakama ya Mkoa wa Manyara akikabiliwa na mashitaka ya kumuua kwa kumpiga risasi askari polisi wa kituo cha Mirerani wilayani Simanjiro G.7037 Joseph Tairo (28).Abayo alifikishwa mahakamani mjini Babati na kusomewa mashtaka mbele ya Hakimu Mfawidhi Mwandamizi wa Mahakama hiyo Rashid Chaungu. Mfanyabiashara huyo anatetewa...
Share:

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © 2025 GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger