
Kigogo
wa CCM aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana CCM (UVCCM) na
Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba, Sukwa Said Sukwa amevishauri vyombo vya
dola visiwani Zanzibar kumchukuliwa hatua haraka Katibu Mkuu wa Chama
cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad kwa kauli yake
aliyoihusisha na...