Wiki chache zilizopita kupitia kituo kimoja cha Tv huko nchini Kenya
Idris Sultan alikiri kua kuna kipindi alifulia kabisa akawa anakosa hata
hela ya matumizi. Watu wengi baada ya kuona vile walijiuliza maswali
mengi je zile milioni 500 zake alipeleka wapi???
Nusu ya jibu la swali hilo limepatikana, ukweli ni kwamba Idris anamiliki nyumba ya ghorofa ya kifahari kabisa na kwa jinsi inavyoonekana bei yake haipungui chini ya milioni 200. Hii inatokana na inavyoonekana na eneo linalozunguka nyumba hiyo kama inavyoonekana katika video hii hapa chini.
Nusu ya jibu la swali hilo limepatikana, ukweli ni kwamba Idris anamiliki nyumba ya ghorofa ya kifahari kabisa na kwa jinsi inavyoonekana bei yake haipungui chini ya milioni 200. Hii inatokana na inavyoonekana na eneo linalozunguka nyumba hiyo kama inavyoonekana katika video hii hapa chini.
0 comments:
Post a Comment