
Msanii wa filamu nchini Wema Sepetu amefunguka na kusema kuwa msanii
Alikiba ni mtu wa kumuacha kutokana na uwezo wake wa kuimba na namna
ambavyo anaweza kuipangilia sauti yake kwenye muziki.
Wema Sepetu amezidi kuonyesha mapenzi aliyonayo kwenye kazi za msanii
Alikiba na kusema huwa zinamkosha...