Showing posts with label kitaifa. Show all posts
Showing posts with label kitaifa. Show all posts

Friday, May 20, 2016

Serikali Yajibu Hoja za Kivuko cha MV Dar es Salaam na Uuzwaji wa Nyumba Zake

Serikali imejibu hoja za upinzani kuhusu uuzwaji wa nyumba za Serikali na kutetea ununuzi wa kivuko cha MV Dar es Salaam ambacho kilitakiwa kufanya safari zake kati ya Dar na Bagamoyo. Hoja hizo ziliibuliwa katika hotuba ya Msemaji wa Kambi Rasmi ya Upinzani kwa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi...
Share:

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Aapa Kukomesha Lumbesa

WAZIRI Mkuu, Kasim Majaliwa, ametoa onyo kwa wafanyabiashara wanaodhulumu wakulima kwa kununua mazao kwa kuyafunga kwenye magunia bila kuzingatia vipimo sahihi maarufu kama lumbesa, na kutaka viongozi kuanzia ngazi ya vijiji mpaka mikoa kusimamia. Alisema serikali itapambana na wafanyabiashara...
Share:

Rais Magufuli Atoa Salamu za Pole kwa Wakazi wa Jiji la Mwanza Kufuatia Mauaji ya Watu Watatu Msikitini

Rais John Magufuli ametoa salamu za pole kwa wakazi wa mkoa wa Mwanza, kutokana na mauaji ya watu watatu, waliouawa kwa kukatwa mapanga wakiwa msikitini. Taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu, jijini Dar es Salaam jana, ilisema Rais Magufuli amesema yupo pamoja na wakazi...
Share:

Thursday, May 19, 2016

Majaliwa: Rais Magufuli hakukosea kuzuia sukari kuingia nchini kiholela

Waziri mkuu Kassim Majaliwa amesema kauli ya Rais John Pombe magufuli ya kuzuia kuingizwa kwa sukari kiholela nchini ilikuwa ni katika kulinda viwanda vya ndani. Aidha Majaliwa amesema kuingia kwa sukari Tani 70,000 toka nje ya nchi hakutaathiri uzalishaji wa viwanda unaotarajiwa kuanza...
Share:

Sakata la Lugumi: CHADEMA Yajipanga Kumng'oa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema uzito wa Rais John Magufuli kumwajibisha Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga kutokana na kutajwa kuhusika na Kampuni ya Lugumi inayodaiwa kulitapeli Jeshi la Polisi, utasababisha waanze harakati za kumng’oa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa....
Share:

Edward Lowassa na Fredrick Sumaye Watajwa Katika Sakata la Uuzwaji wa Nyumba za Serikali.......Mbowe Atoa Ufafanuzi

Uuzwaji wa nyumba za serikali umegeuka mwiba huku wabunge wakiendelea kuhoji hatua zilizochukuliwa kutokana na kadhia hiyo Hatua hiyo iliyotekelezwa mwaka 2002  hadi 2004 ilizusha malalamiko mengi tangu wakati huo na sasa imeibuka tena bungeni Akichangia mjadala wa bajeti ya...
Share:

Magari Ya Washawasha Kugeuzwa ya Zimamoto

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Yusufu Hamad Masauni, amesema Serikali iko katika mchakato wa kuangalia uwezekano wa kubadili matumizi magari ya polisi ya kuzuia ghasia kwa kurusha maji ya kuwasha maarufu washawasha yaweze kutumika kuzima moto. Kauli hiyo ilitokana na swali...
Share:

Wednesday, May 18, 2016

Mwanasheria Mkuu wa Serikali awataka Mawakili wa Serikali kutoa ushauri wa Mikataba kwa makini

Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. George Masaju amewataka Mawakili wa Serikali kuwa makini na kutoa ushauri kwa uadilifu na uweledi wa hali ya juu pindi wanapotoa ushauri wa kisheria kuhusu mikataba mbalimbali. Mhe. Masaju ameitoa kauli hiyo alipokuwa akiongea  na Mawakili ...
Share:

Polisi Akamatwa na Noti Bandia Zenye Thamani ya Sh. 870,000

ASKARI Polisi Ezekiel Dinoso (32) mkazi wa tarafa ya Mgeta, wilayani Mvomero mkoani Morogoro amekutwa na noti bandia za Sh 10,000 zenye thamani ya Sh 870,000, akijiandaa kuzitumbukiza katika akaunti ya mtandao wa Tigo Pesa katika duka mojawapo eneo la Mawenzi, Manispaa ya Morogoro. Kamanda ...
Share:

Tuesday, May 17, 2016

Katibu Mkuu Chadema Ziarani Ghana

Katibu Mkuu wa Chadema Dk Vincent Mashinji ameanza ziara ya kikazi ya siku tano nchini Ghana ambako pamoja na shughuli nyingine, atashiriki mkutano wa kimkakati kuhusu masuala ya uchaguzi. Katika ziara hiyo, Mashinji anatarajiwa kukutana na mgombea urais wa chama rafiki na Chadema,...
Share:

Serikali Kuajiri Askari Wapya 3700....... Askari 7000 na Wakaguzi 1300 Watapandishwa Vyeo

Serikali  inatarajia kumwaga ajira kwa askari  katika mwaka ujao wa fedha.Taarifa juu ya ajira hizo, zilitolewa jana bungeni  na  waziri  mwenye dhamana. Akiwasilisha Makadirio ya Mapato ya Matumizi ya Wizara yake kwa mwaka 2016/17 kuhusu ajira za askari, Waziri...
Share:

Makamu wa Rais Atema Cheche.....Wakuu wa Mikoa na Wilaya Watakaopuuza Agizo Lake Watatumbuliwa

Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan ameagiza wakuu wa mikoa ya Geita, Arusha na Kagera kuhakikisha wanaondoa mifugo itokayo nje ya nchi pamoja na kuwaondoa wanachi waliovamia maeneo ya hifadhi za taifa (Tanapa) ifikapo Juni 30 mwaka huu. Aidha ameagiza wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya...
Share:

Jeshi La Polisi Lanasa Mahausigeli 15 Waliokuwa Wakipelekwa Oman

Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limewakamata wasichana 15 katika nyumba iliyopo maeneo ya Ukonga, waliokuwa tayari kusafirishwa kwenda Oman kufanya kazi za ndani. Akizungumza na waandishi wa habari jana, Dar es Salaam, Kamishna wa Polisi wa kanda hiyo, Simon Sirro,...
Share:

Serikali: Hatuna Msamaha na Wauza Madawa ya Kulevya

Serikali  imesema haitakuwa na msamaha wala suluhu kwa wahusika wote wa biashara haramu ya dawa za kulevya.  Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga alitoa rai kwa watu wote kutojihusisha na uuzaji, utumiaji na usafirishaji wa dawa hizo. Kitwanga aliyasema...
Share:

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © 2025 GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger