
Serikali imejibu hoja za upinzani kuhusu uuzwaji wa nyumba za Serikali
na kutetea ununuzi wa kivuko cha MV Dar es Salaam ambacho kilitakiwa
kufanya safari zake kati ya Dar na Bagamoyo.
Hoja hizo
ziliibuliwa katika hotuba ya Msemaji wa Kambi Rasmi ya Upinzani kwa
Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi...