
Mkeka umegeuka shubiri kwa kampuni ya michezo ya bahati nasibu na
kubashiri matokeo ya michezo, Super Bets ya jijini Dar es Salaam baada
ya kushindwa kuwalipa wateja wake waliodai kushinda kiasi kikubwa cha
fedha.
Mmoja kati ya wateja hao anadaiwa kushinda shilingi milioni 164
Jumatatu...