Showing posts with label michezo. Show all posts
Showing posts with label michezo. Show all posts

Thursday, May 12, 2016

Super Bets Dar kikaangoni kwa kushindwa kumlipa mteja aliyeshinda milioni 160

Mkeka umegeuka shubiri kwa kampuni ya michezo ya bahati nasibu na kubashiri matokeo ya michezo, Super Bets ya jijini Dar es Salaam baada ya kushindwa kuwalipa wateja wake waliodai kushinda kiasi kikubwa cha fedha.  Mmoja kati ya wateja hao anadaiwa kushinda shilingi milioni 164 Jumatatu...
Share:

Saturday, May 7, 2016

Video: Inasikitisha....Cameroon Wapoteza Tena Staa Mwingine Uwanjani

Kama ni mfuatiliaji mzuri wa mitandao ya soka barani Ulaya huenda utakuwa umekutana na taarifa za kusikitisha kwa taifa la Cameroon, usiku wa May 6 2016 Cameroon na Afrika  kwa ujumla ilipata taarifa za kushtusha, baada ya kupokea taarifa za kifo cha kiungo wa kimataifa wa Cameroon aliyekuwa...
Share:

Tuesday, May 3, 2016

Yanga Ubingwa Huooooo...Yapiga Mtu 3

Yanga imezidi kuusogelea ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kuafutia ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Stand United jioni ya leo Uwanja wa Kambarage, Shinyanga. Ushindi huo ulitokana na mabao mawili ya washambuliaji wa kimataifa wa Zimbabwe, Donald Ngoma na Amissi Tambwe wa Burundi,...
Share:

Thursday, April 28, 2016

Guardiola: Msimfananishe Niguez na Messi

Kocha wa timu ya Bayern Munich, Pep Guardiola ameonya watu walioanza kumlinganisha Saul Niguez na Messi. Saul jana usiku aliifungia Atletico Madrid goli pekee ambalo liliifanya timu hiyo kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Bayern waliokuwa ugenini kwenye uwanja wa Vicente Calderon. Baada ya mechi...
Share:

Wednesday, September 30, 2015

TFF imemfungia Mchezaji Nyoso Kwa Miaka Miwili Kucheza Mpira wa Miguu Baada ya Kumshika Mchezaji Mwenzie Makalio

Kamati ya masaa 72 ya uendeshaji wa Ligi Kuu iliyokutana leo kupitia ripoti mbalimbali za michezo iliyochezwa ya Ligi Kuu na Ligi Daraja la Kwanza nchini imemfungia mchezji Juma Nyoso wa timu ya Mbeya City kucheza mpira wa miguu kwa kipindi cha miaka miwili na faini ya shilingi milioni mbili...
Share:

Friday, November 1, 2013

ANGALIA HAPA VIDEO YA VURUGU ZILIZOTOKEA JANA UWANJA WA TAIFA...VITI ZAIDI YA 50 VYAVUNJWA..!!

October 31 2013 kulikua na mechi ya Simba vs Kagera Sugar kwenye uwanja wa taifa ambapo timu hizo zilitoka 1-1 huku goli lililoleta malalamiko likiwa ni la Kagera Sugar ambalo lilifungwa kwa njia ya penat.Kocha wa Kagera Sugar amesifia maamuzi ya refa na kusema ‘nafurahi timu imesawazisha kwenye...
Share:

Sunday, October 20, 2013

LEO PATAKUWA HAPATOSHI UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR!! NANI ATAMPAKATA MWENZAKE?....

Watani wa jadi nchini Simba na Yanga leo jioni wanashuka katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kupambana katika mchezo wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara, huku Simba ikiwa na rekodi nzuri ya kuifunga Yanga mabao 5.Kila upande umekuwa ukitamba kuibuka na ushindi leo.=====YETU  MACHO=======...
Share:

Saturday, October 19, 2013

PICHA: SALAMA JABIR AWATUSI MASHABIKI KWA ISHARA YA KIDOLE....

** *Mtangazaji wa Kipindi cha Mkasi kinachorushwa hewani kupitia kituo cha EATV Salama Jabir, wa pili kutoka kushoto akidauiwa kutukana kwa kutumia ishara ya kidole wakati walipokuwa kwenye moja ya haraka za kurekodi matukio ya kipindi cha EPIQ BSS 2013, kinachorushwa hewani kupitia kituo cha TBC1,...
Share:

Friday, October 18, 2013

"TUNAMSHAURI NGASSA AANDAE KABISA GARI LA ZIMA MOTO,TUSIJEMTIA HASARA BURE" SIMBA

KLABU ya Simba imemtaka kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngassa, aandae kabisa gari la kuzima moto kwenye nyumba zake kwa kuwa ina uhakika mchezaji huyo hataweza kutimiza ahadi yake ya kufunga au kutoa pasi ya bao.Simba na Yanga zinakutana keshokutwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar na Ngassa...
Share:

Wednesday, October 16, 2013

MRISHO NGASSA AHADIWA MAMILIONI ENDAPO ATAFUNGA GOLI KWENYE MECHI DHIDI YA SIMBA...!!

WAKATI homa ya pambano la watani wa jadi ikizidi kupanda, Championi limebaini siri nzito kwenye kambi ya Yanga, kwamba mshambuliaji wa timu hiyo, Mrisho Ngassa (pichani) ataondoka na mamilioni kama akifanikiwa kufunga bao katika mchezo huo. Akiwa kambini kisiwani Pemba, Zanzibar, ambako Yanga inajiandaa...
Share:

Tuesday, October 15, 2013

"NISIPOFUNGA AU KUTOA PASI AMBAYO ITAPELEKEA SIMBA WAFUNGWE NITACHOMA NYUMBA ZANGU TANO NINAZOZIMILIKI"....MRISHO NGASSA

Saleh "Jembe mshambuliaji nyota wa Yanga, Mrisho Ngassa akisema kuwa hasira zake ni kama atashindwa kufunga au angalau kutoa pasi itakayozaa bao litakaloimaliza Simba: “Niko vizuri na ninajiona niko tayari kwa mchezaji, nataka kufanya kazi nzuri na ninajua Simba nitawafunga. ...
Share:

Tuesday, October 8, 2013

MASHABIKI WALIVYOPONDA UWEPO WA ALLY ZAHIR ZORRO KUWA KAMA JUDGE WA TUSKER PROJECT FAME....

Mashabiki wengi wa shindano la 'Tusker Project Fame' linalofanyika nchini Kenya kila mwaka wameonekana kutofurahishwa na ujio wa jaji mpya wa shindano hilo anayefahamika kwa jina la 'Ally Zahir Zorro' ambaye ni Muimbaji mkongwe wa muziki nchini Tanzania aliyeungana na majaji wengine 'Ian Mbugua'...
Share:

Tuesday, May 21, 2013

HIVI NDIVYO WANAJANGWANI WALIVYOMLAKI KIPENZI CHAO MRISHO NGASSA..!

Ngassa amezungumza kwa mara ya kwanza na kuthibitisha kwamba kweli amesaini Yanga.“Ni kweli nimesaini Yanga, nisingeweza kuzungumzia suala hilo wakati nina mkataba ambao ulikuwa haujamalizika.“Lakini baada ya mechi ya mwisho ya ligi, sasa niko huru kuanza kuutumikia mkataba wangu mpya,” alisema.Mashabiki...
Share:

Monday, May 20, 2013

YANGA SC YATANGAZA RASMI USAJILI WA MRISHO NGASSA...!!

Katibu Mkuu wa klabu ya Young Africans Lawrence Lawrence Mwalusako leo amemtambulisha rasmi kwa waandishi wa habari mchezaji Mrisho Ngasa ambaye amerejea katika klabu yake ya zamani kufuatia kumalizika kwa mkataba wake wa miaka miatatu (3) dhidi ya timu ya Azam FC. Akiongea na waandishi wa habari...
Share:

Wednesday, May 15, 2013

KUELEKEA MPAMBANO WA JADI KATI YA SIMBA NA YANGA, MRISHO NGASSA AIPIGILIA SIMBA MSUMARI WA MOTO KWA KUSAINI YANGA MIWILI...!!

.KIUNGO mwenye kasi, Mrisho Khalfan Ngassa, amerejea Yanga na kusaini mkataba wa miaka miwili kuichezea tena timu hiyo.Ngassa alianza kupata umaarufu mkubwa akiwa na Yanga kabla ya kuondoka na kujiunga na Azam FC kwa kitita cha jumla ya Sh milioni 98 na kuweka rekodi mpya ya usajili. Lakini Ngassa...
Share:

Tuesday, May 14, 2013

SIMBA WATISHIA KUGOMEA MECHI NA YANGA BAADA YA REFA KUBADILISHWA GHAFLA...!!

UONGOZI wa Simba SC umesema hauna imani na mabadiliko ya refa yaliyofanywa kuelekea mpambano wao na Yanga SC Jumamosi na kwa sababu hiyo unakutana katika kikao cha dharula haraka iwezekanavyo kujadili suala hilo, ikibidi kususia mchezo huo.Akizungumza na BIN ZUBEIRY jioni hii, Mwenyekiti wa Kamati...
Share:

Monday, May 13, 2013

BAADA YA ALEX FERGUSON KUTANGAZA KUSTAAFU, WAYNE ROONEY NAE AOMBA KUIHAMA TIMU HIYO...!!

Sir Alex Ferguson amewahakikishia mashabiki wa Man U kwamba Wayne Rooney anatoka kuondoka Man U. Rooney (miaka 27) aliachwa nje kwenye mechi iliyofanyika jana kati ya Man Utd vs Swansea (2-1) katika uwanja wa Old Trafford. “I don’t think Wayne was keen to play, simply because he has asked for a transfer,....
Share:

Saturday, May 11, 2013

MCHEZAJI WA AZAM AZUIWA KUCHEZA SOKA MAISHA...!!

HUJAFA Hujaumbika, kiungo wa Azam FC, Ibrahim Bakari ‘Jeba’, hataweza kucheza soka tena baada ya kuzuiwa na madaktari.Madaktari mahiri wa nchini India wamechukua uamuzi huo baada ya kumfanyia vipimo na kugundua kuwa ana tatizo kwenye ini. Jeba ambaye mashabiki wa...
Share:

Friday, May 3, 2013

NGASSA AINYIMA USINGIZI SIMBA, ADAI HANA MKATABA NAO TENA....!!

UONGOZI wa Klabu ya Simba umetamka na kusisitiza kuwa kiungo wao, Mrisho Ngassa, amebakisha mkataba wa mwaka mmoja zaidi klabuni hapo, lakini mchezaji huyo amesema hana mkataba.Simba imetoa tamko hilo baada ya kiungo huyo kutangaza dau la shilingi milioni 150 kwa timu itakayomhitaji ikiwemo Simba...
Share:

Thursday, May 2, 2013

FIFA YAWARUDISHA MALINZI NA WAMBURA KUGOMBEA TFF

Kuna taarifa kwamba wagombea wawili, Jamal Malinzi na Michael Wambura wamerudishwa kuwania nafasi walizokuwa wakipigania kuzipata katika uchaguzi mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).Taarifa kutoka ndani ya TFF zimeeleza, Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) limeandika barua ambayo imeshatua...
Share:

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © 2025 GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger