Showing posts with label DIAMOND. Show all posts
Showing posts with label DIAMOND. Show all posts

Friday, May 20, 2016

Diamond Atajwa Kuwania Tuzo za BET 2016

Diamond Platinumz anaendelea kupaa katika ulimwengu wa muziki kimataifa ambapo mwaka huu pia nyota yake imeng’aa kwenye tuzo kubwa za Black Entertainment Television (BET 2016). Mwimbaji huyo ametajwa kuwania kipengele cha Best International Act: Africa akichuana na wasanii wengine nguli...
Share:

Friday, May 13, 2016

Picha: Mafikizolo Toka South Na Diamond Platinumz Wafunika Vibaya Tamasha La Vodacom Chuo Kikuu cha Dodoma

Mwanamuziki wa kizazi kipya Nasibu Abdul “Diamond Platinums” pamoja na kundi la muziki la Mafikizolo wakiimba wimbo wao wa Color of Afrika wakati wa Tamasha la Vodacom Kichuo zaidi lillilofanyika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM)   Mwanamuziki wa kizazi kipya Nasibu Abdul “Diamond Platinums”...
Share:

Thursday, May 12, 2016

Picha na Video: Diamond na Mafikizolo Wakiwa Ndani ya Ukumbi wa Bunge Leo

Kundi maarufu la muziki kutoka Afrika Kusini Mafikizolo pamoja na staa wa bongofleva Diamond Platnumz leo walipata mwaliko wa kuingia Bungeni Dodoma ambapo mastaa hawa wapo Dodoma kwa ajili ya kupiga burudani  Chuo kikuu cha Dodoma.   &nbs...
Share:

Tuesday, May 3, 2016

Mashabiki Wamsifia Diamond kwa Kuweza Kufanya Ambalo Wanaume Wengi Hushindwa

Wanasema ukipenda boga, penda na maua yake.Kwa Diamond kumpenda Zari the Bosslady kunaamanisha kuyapenda pia maua yake matatu ya mwanzo. Unapompenda mwanamke ambaye tayari ana watoto watatu kabla yako, ni lazima ukutane na changamoto nyingi hasa za kutengeneza ukaribu na watoto hao. Wapo waliofanikiwa...
Share:

Monday, May 2, 2016

Diamond Azipangua Shutuma za Kutoka na Mrembo Lyyn..Adai Wanajaribu Lakini Zari Ndio Roho yake

Diamond Ameamua Kuwakata watu vidomo wanaosema kuwa yeye na Zari kwa sasa hakuna mawasiliano mazuri kisa mrembo aliyecheza kwenye video mpya ya Rayvan...kwa kumpost Zari kwenye page yake ya Instagram...Tetesi za Diamond kutoka na msichana huyo zimekuwa gumzo kubwa instagram ... Roho ya SIMBA!!!.......
Share:

Thursday, April 28, 2016

Watu wanadhani nimepagawa – Hawa wa Diamond

Msanii ambaye aliwahi kufanya collabo na Diamond ‘Nitarejea’, amesema wakati mwingine watu wanadhani amepagawa, kitu ambacho si kweli na kwamba kwa anatafuta menejimenti itakayosimamia kazi zake. Siku za nyuma Hawa alikumbwa na matatizo kadhaa baada ya kutelekezwa na mwanaume aliyempatia...
Share:

Friday, October 2, 2015

Ujumbe wa Zari kwa Diamond anayesherehekea birthday yake leo (Oct. 2)

Nasibu Abdul a.k.a Diamond Platnumz leo (Oct 2) anasherehekea siku yake ya kuzaliwa akiwa ameongeza mwaka mwingine. Kama ilivyo ada kwa mtu kupata pongezi kutoka kwa watu mbalimbali katika siku special kama hii, miongoni mwa pongezi nyingi alizopokea Diamond ni pamoja na ya mzazi mwenzake na ‘mke...
Share:

Thursday, October 1, 2015

Tuzo nyingine zinazowahusu wakali wa Nigeria, Diamond Platnumz nae yumo..!!

Ukitaja Tuzo kubwa zinazohusu Muziki wa Tanzania ni Tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards… Nigeria nao wanazo za kwao, zinaitwa Headies Awards na good news ni kwamba tayari wakali wanaowania Tuzo hizo wamefahamika. Tumeona kwa KTMA huwa inatoa Tuzo pia kwa baadhi ya wasanii wa nje, mfano...
Share:

Wednesday, September 30, 2015

Diamond aingilia sakata la Nyosso

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul, ‘Diamond’. WAKATI Juma Nyosso akisubiria hukumu kutoka kwenye Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul, maarufu kwa jina la Diamond, amemvaa beki huyo wa Mbeya City, akidai huyo ni mmoja wa wachezaji wanaokwamisha...
Share:

Saturday, May 30, 2015

Video mpya ya Diamond ft Mr Flavour - Nana

...
Share:

Friday, May 29, 2015

Mimba ya Zari yampa mamilioni Diamond

Imebainika kuwa mimba ya mwandani wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ inamwingizia jamaa huyo mamilioni ya fedha, Ijumaa limebaini mchezo mzima.KUMBE! Mwandani wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’. Imeelezwa...
Share:

Diamond Platnumz Kuachia Ngoma Mpya Ya Kimataifa leo

Nyota wa muziki wa Bongo flava nchini Tanzania, Diamond Platnumz anatarajia kuachia ngoma mpya ya kimataifa ambayo mpaka sasa haijajulikana kwani tayari ameshafanya collabo na wasanii watatu wa kimataifa akiwepo Flavour, P-Square na nyota wa Kimarekani.   Diamond ameshare picha ya fomu...
Share:

Thursday, December 5, 2013

SINEMA YA BABY MADAHA NA DIAMOND BADO INAENDELEA,DIAMOND NAE AFUNGUKA NA KUMPONDA BABY MADAHA....

.Baby Madaha akiwa na Diamond.ACHANA na mabifu yaliyotangulia, hili ni jipya kabisaa! Msanii wa sinema na Bongo Fleva, Baby Joseph Madaha ameingia kwenye bifu zito na Nasibu Abdul Jumaa ‘Diamond Platnumz’ na kudai staa huyo wa Wimbo wa Number One ni mzinzi ‘fuska’, Amani lina mkanda mzima. Bila kumung’unya...
Share:

Wednesday, December 4, 2013

DIAMOND HAJUI KUIMBA NDIYO MAANA AMEKUWA MSANII WA MATUKIO HUKU NYOTA YAKE IKIEGEMEA KWENYE MAPENZI NA WASICHANA WENYE MAJINA MAKUBWA" BABY MADAHA

.MSANII filamu na muziki wa kizazi kipya wa Tanzania Baby Joseph Madaha maarufu kwa jina la (Baby Madaha) amesema kwamba msanii mwenzake wa muziki nchini,Naseeb Abdul maarufu kwa jina la Diamond Platinumz si msanii bali ni mfanyabiashara. Madaha amesema kwamba Diamond si mwanamuziki na kamwe...
Share:

Thursday, November 14, 2013

DIAMOND AJIZULIA BALAA INSTAGRAM KUTOKA KWA FANS WA WEMA BAADA YA KUTANGAZA KUTOMUOA KIPENZI CHAO...

.Mwanamuziki Diamond Platnumz aka Rais wa Wasafi anaetamba kwa wimbo wake No. 1 haishi drama na warembo wa mujini.Baada ya hivi  karibui kuonekana na Wema na kuwapa fans wake na wa Wema matumaini kwamba wamerudiana ghafla ameibuka kupitia Global Publishers na kusema “Najua wengi wanahisi...
Share:

"TUMEGUNDUA KUWA MIMI NA DIAMOND NI NDUGU WA DAMU...." PENNY

Diamond na Penny katika pozi la kimahaba.MAAJABU! Jambo zito limefichuka kuwa mastaa walio katika uhusiano wa kimapenzi, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Penniel Mwingilwa ‘Penny’ ni ndugu, AMANI limepekua na kupata mkanda kamili. Diamond kwa sasa ndiye mwanamuziki aliye matawi ya juu zaidi kuliko...
Share:

Saturday, November 9, 2013

MAMA DIAMOND AINGILIA KATI PENZI JIPYA KATI YA DIAMOND NA WEMA.....!!

Mama wa Msanii wa ngoma ya Number One, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Sanura Kasim ‘Sandra’ ameingilia kati penzi lililofufuka upya kati ya mwanaye na staa wa filamu za Kibongo, Wema Sepetu.Habari za chini ya kapeti zilitonya kuwa baada ya kuambiwa na kuoneshwa picha za Diamond akiwa kimahaba na...
Share:

Friday, October 18, 2013

WADAU WAPITISHA NDOA YA WEMA SEPETU NA DIAMOND....

Wadau na mashabiki wa mastaa wawili nchini, Wema Sepetu wa Bongo Movie na Nasibu Abdul ‘Diamond’ wa muziki wa kizazi kipya, wamebariki ndoa ya wapenzi hao kwa kusema kuwa ni watu wanaoendana na kutegemeana kwa kiasi kikubwa.Mwanzoni mwa wiki hii, Wema na Diamond walitupia katika kurasa zao za mitandao...
Share:

Monday, October 14, 2013

DIAMOND KUBADILISHA WANAWAKE NDIO MAISHA YAKE ALIYOJIWEKEA KWA KUWA AMESHAZOEA KUONEKANA KATIKA MAGAZETI KILA WAKATI...MAMA DIAMOND

MAMA mzazi wa mkali wa ngoma ya Number One, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Sanura Kasim ‘Sandra’ ameingilia kati penzi lililofufuka upya kati ya mwanaye na staa wa filamu za Kibongo, Wema Sepetu.Habari za chini ya kapeti zilitonya kuwa baada ya kuambiwa na kuoneshwa picha za Diamond akiwa kimahaba...
Share:

Thursday, October 10, 2013

"DIAMOND NA WEMA SEPETU WAMERUDIANA...." NI MOVIE KWELI AMA PUBLICITY STUNT?

Let’s face this big elephant in the room…Diamond Platnumz na Wema Sepetu wana agenda ya siri. Naiita agenda ya siri kwakuwa kuna maswali makubwa mawili ambayo mimi na watu wengine wengi tunahisi Diamond anakificha kuhusu uhusiano wake na Wema Sepetu.Swali la kwanza ni Diamond na Wema wamerudiana tena?...
Share:

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © 2025 GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger