Mtoto aliyefufuka (katikati) akiwa ameshikwa na Mch. Gwajima (kulia) na Mch. Costa (kushoto)Ni jumapili tulivu katika viwanja vya kanisa jipya la Ufufuo na Uzima jijini Arusha; ambapo Mchungaji kiongozi wa kanisa hilo Tanzania, Mch. Josephat Gwajima ameendelea na ziara yake mkoani humo kwa kuwafundisha...
Showing posts with label maajabu. Show all posts
Showing posts with label maajabu. Show all posts
Tuesday, October 15, 2013
Monday, October 14, 2013
Tuesday, October 8, 2013
MAAJABU MTOTO ALIYEFUFUKA....!!
TUKIO la mtoto Shaaban Maulid, 16, aliyefariki dunia miaka mwili iliyopita kabla ya mwaka huu kuonekana (kufufuka), limeendelea kutikisa baada ya maajabu mengine kujiri.Shaaban, alifariki dunia na kuzikwa Januari, 2011 lakini Septemba 30, mwaka huu, alionekana akiwa hai, ingawa alikuwa akizungumza...
Tuesday, May 21, 2013
MAAJABU YA MTOTO ALIYETESWA NA WAZAZI WAKE MBEYA NA KUFUNGIWA NDANI MIAKA 2....!!
Moto Joshua akiwa amekaa uwani kwenye nyumba yao huku wazazi wake wakiwa wamemwacha peke yake toka asubuhi bila ya kumpatia chakula mtoto huyo tumemkuta katika hali mbaya sana kwani tunemkuta amejisaidia haja ndogo na hana hata nguo za kubadilisha.Kwa ujumla mtoto Joshua hata kutembea...
Wednesday, May 15, 2013
"MWANAMKE MWENYE JINSIA MBILI ANATAKA KUNIOA, NIFANYEJE?"......NAOMBENI USHAURI...!!

HAta sielewi nianzie wapi ila kwa ufup ni ivi..nna rafik angu nilifahamiana nae nkiwa kazin mwaka 2011 mpaka leo tumekua close na kusaidiana kwakila jambo,,few days pass akaniomba aje kwangu tule wote dinner..soon after eating she told me dat she av smthin 2tell me n ask me..chakushangaza akanitamkia...
VIDEO YA WANAFUNZI WA MANZESE WALIOKUWA WAKIDONDOSHWA NA MAPEPO JANA....ANGALIA HAPA...!!

Hali ya taharuki ilitokea jana katika shule ya sekondari Manzese jijini Dar es salaam baada ya zaidi ya wanafunzi 40 kupatwa na ugonjwa wa kuanguka ovyo na kusababisha kukatishwa kwa masomo na kulazimishwa wanafunzi kurudi nyumbani kwa kuhofia usalama wao. VIDEO YA RIPOTI YA ITV&nb...
Tuesday, May 7, 2013
HAWA NDIO MAPACHA WALIOUNGANA TOKA IRINGA .........ANGALIA PICHA....!!
Hawa ndio mapacha wawili walioungana na sasa wanaendelea kuishi vema katika wilaya ya kilolo ambako wanaendelea kusoma ni wakazi wa wilaya ya Mak...
Monday, April 29, 2013
MCHAWI AZIKWA AKIWA HAI PAMOJA NA MAREHEMU ALIYEDAIWA KUMUUWA KWA USHIRIKINA......!!
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida wananchi wa kijiji na kata ya Mkwajuni Wilaya ya Chunya Mkoani hapa wamemzika Mwanakijiji mwenzao akiwa hai wakimtuhumu kusababisha kifo cha Mkazi mmoja kijijini hapo. Tukio hilo la kusikitisha limetokea Apri 26 mwaka huu majira ya Saa Nane Mchana katika Kitongoji...
Sunday, April 14, 2013
HILI NDIO SAKATA LA MWANAMKE ALIYEFUFUKA HUKO GEITA BAADA YA KUFARIKI MIAKA 5 ILIYOPITA....!!

Mji wa Geita na maeneo ya jirani juzi ulikumbwa na taharuki ya aina yake, pale mwanamke ambaye anadaiwa kwamba alifariki miaka mitano iliyopita alipoonekana akiwa hai katika eneo la Kasamwa. Inadaiwa kwamba Flora Onesmo (45) alifariki Februari 28, 2008 katika Hospitali ya Wilaya ya Geita na...
Saturday, April 13, 2013
MBWA AKUTWA NA MGUU WA BINTI WA DARASA LA 7....!!
IMANI za kishirikina zimezidi kukitisa Kijiji cha Isange, Kata ya Isange, Wilaya ya Rungwe, mkoani Mbeya baada ya matukio ya kupotea na kuuawa kwa watoto kutokea mara kwa mara ambapo safari hii binti mmoja wa darasa la saba ameuawa na mguu wake kukutwa ukiliwa na mbwa. Binti huyo aliyeuawa amegundulika...
Tuesday, April 2, 2013
MBEYA: VIBAKA WAMCHINJA MWANAFUNZI KAMA KUKU NA KUONDOKA NA KICHWA CHAKE...HII NI HATARI...!!

MWILI WA ALIYETUHUMIWA KWA MAUAJI YA MTOTO AYUBU AGEN UKIWA UMECHOMWA MOTO NAWANANCHI WENYE HASIRA KALI BAADA YA KUMKUTA MITA CHACHE KUTOKA KWENYE MWILI WA MAREHEMU AKIWA NA KISU KINACHODHANIWA KUTUMIKA KATIKA MAUAJIMWILI WA MTOTO AYUBU UKITOLEWA KATIKA CHUMBA CHA KUHIFADHIA MAITI KATIKA HOSPITALI...
Wednesday, March 27, 2013
LAANA: YULE MTOTO WA MIAKA 8 ALIYEOA BIBI WA MAIAKA 61 ADAI SASA ANAJISIKIA FURAHA KUITWA BABA....!!

KUSHOTO: Sanele akibusiana na mkewe, Helen siku ya harusi yao wiki mbili zilizopita. KULIA: Sanele na Helen walipata chakula cha usiku pamoja nyumbani kwa mkewe huyo.Huku miguu yake ikining'inia juu ya sakafu na sehemu yake ya chakula cha mtoto, inaonekana kama anakula chakula cha usiku...