
Watu
wasiojulikana wakiwa na pikipiki aina ya Boxer,usiku wakuamkia leo
wamemuuwa kwa kumpiga risasi kadhaa katika sehemu mbalimbali za mwili
wake Askari wa Jeshi la Polisi kitengo cha usalama barabarani, Ally
Kinyogoli nyumbani kwake Mwandege, Mkuranga mkoani Pwani.
Baada ya kumuua, watu...