Showing posts with label UKATILI. Show all posts
Showing posts with label UKATILI. Show all posts

Friday, May 20, 2016

Tanzia: Askari wa Usalama Barabarani, Ally Kinyogoli Auawa kwa Kupigwa Risasi

Watu wasiojulikana wakiwa na pikipiki aina ya Boxer,usiku wakuamkia leo wamemuuwa kwa kumpiga risasi kadhaa katika sehemu mbalimbali za mwili wake Askari wa Jeshi la Polisi kitengo cha usalama barabarani, Ally Kinyogoli nyumbani kwake Mwandege, Mkuranga mkoani Pwani. Baada ya kumuua, watu...
Share:

Sakata la Mauaji Msikitini Mwanza: Kundi la Kigaidi la ISIS Lahusishwa

YADAIWA ni kisasi baada ya Polisi kuwakamata wanaharakati wa IS saa 24 kabla."baada ya swala kumalizika, watu hao waliingia na kuwaamuru kulala chini huku wakitoa bendera nyeusi na maandishi ya meupe ya Kiarabu kisha kumtaka Imamu wa msikiti kujitokeza mbele, bendera hiyo ni kama ile inayotumiwa...
Share:

Thursday, May 19, 2016

Watu Watatu Wauawa Kwa Kukatwa Mapanga na Mashoka Jijini Mwanza

Mnamo tarehe 18.05.2016 majira ya saa 20:30hrs katika msikiti wa masjid rahman uliopo ibanda relini mtaa wa utemini @ mapankini kata ya mkolani wilaya ya nyamagana jiji na mkoa wa mwanza.  Watu wasiozidi 15 wakiwa wamevalia mavazi ya kuficha uso wakiwa na mapanga, shoka na bendera...
Share:

Tuesday, May 17, 2016

Mganga wa Kienyeji Ambaka Mgonjwa wake

Mganga wa Kienyeji Hamza Saidi,(40) anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani hapa kwa tuhuma za kumbaka mgonjwa aliyekwenda kutibiwa masikio kwenye ofisi ya mganga huyo.Mganga huyo, Mkazi wa Manispaa ya Kigoma Ujiji anatuhumiwa kumbaka msichana wa miaka 20, na kumsababishia maumivu makali.Akithibitisha ...
Share:

Mtu Mwingine Auawa Kwa Kukatwa Mapanga Usiku Sengerema Mkoani Mwanza

Wakati upelelezi wa tukio la watu saba wa familia moja kuuawa kwa kukatwa mapanga na watu wasiojulikana ukiendelea, mauaji mengine ya aina hiyo yametokea wilayani Sengerema. Safari hii, mkazi wa Kijiji cha Bilulumo, Kata ya Kafunzo, James Mgambo (71) aliuawa kwa kukatwa mapanga na...
Share:

Monday, May 16, 2016

Auawa Kwa Kuchomwa Visu Akituhumiwa Kutoka Kimapenzi na Mtalaka Wake

Mkazi wa Kijiji cha Chala B, Tarafa ya Chala wilayani Nkasi, Mkoa wa Rukwa, Moses Nambasita (48) ameuawa kwa kuchomwa visu kutokana na kinachodaiwa kuwa ni wivu wa mapenzi. Akisimulia mkasa huo mwishoni mwa wiki iliyopita, Mwenyekiti wa Kitongoji hicho, Vincent Mwanambuu alisema tukio...
Share:

Thursday, May 12, 2016

Watu 7 wa Familia Moja Wauawa Kikatili Jijini Mwanza

WATU saba wa familia moja wameuawa kikatili wilayani Sengerema mkoani Mwanza juzi usiku.  Taarifa iliyotolewa na Ofisa Habari wa Mkoa wa Mwanza, Atley Kuni ambaye alifuatana na Mkuu wa Mkoa huo, John Mongella na Kamanda wa Polisi Mkoa, Ahmed Msangi katika eneo la tukio, alisema watuhumiwa...
Share:

Friday, May 6, 2016

Baba Aua Mtoto wa Kambo chumbani.......Yadaiwa ni Baada ya kumtuma mkewe Dukani kununua Dawa

Watu wawili wamekufa katika matukio mawili tofauti, akiwamo mtoto Mariam Haule (2) kwa kunyongwa na baba yake wa kambo baada ya kumtuma mama yake dukani kisha kutokomea kusikojulikana. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Hamis Issa alisema jana kuwa, tukio hilo lilitokea Mei 2. Issa ...
Share:

Thursday, May 5, 2016

Habari Kamili Kuhusu Mauaji Yaliyotokea Bagamoyo...Mume Achinja Mke na Mtoto Kisa Wivu wa Mapenzi

  JESHI la Polisi mkoani Pwani linamshikilia Frowin Peter Mbwale (26) mkazi wa Kawe Jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kuua kwa kuwachinja mkewe Oliver Erasto (23) na mtoto wake Emanuel Frowin (3) kutokana na wivu wa mapenzi. Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa kwa waandishi wa habari...
Share:

Mauaji ya Kutisha Kaole Bagamoyo Jana Jioni..Mama na Mtoto Wachinjwa Kama Kuku

Watu wawili mama na mtoto wamenyongwa hadi kufa kisha kuchinjwa kama kuku maeneo ya kaole jioni ya janaHabari kutoka Kaole; Majira ya saa 12 jioni jana, ilipita pikipiki eneo hilo ikiwa imepakiza watu watatu, dereva wa nne! Wanaume wawili, mwanamke na mtoto.Walipofika eneo la darajani, porini...
Share:

Monday, May 2, 2016

Video: Mwanamke Afariki Guest House kwa Kulishwa Sumu na Mpenzi Wake,, Mwanaume Akimbia

Tukio limetokea Guest House Kimara Dar es salaam usiku wa May 1 2016 ambapo Mwanaume mmoja aliyeingia kwenye nyumba hiyo ya Wageni akiwa na Mwanamke, alikimbia kwa kusingizia kwenda dukani kununua vocha wakati Mwanamke huyo akikaribia kukata roho na hakurudi tena. Wakati tunasubiri uchunguzi...
Share:

Friday, April 29, 2016

Mfanyabiashara Auawa gesti Kwa Kuchomwa Kisu

Mfanyabiashara wa mazao, Eliusta Peter(40),   amefariki dunia baada ya kuchomwa na kitu chenye ncha kali shingoni akiwa katika  nyumba ya kulala wageni wilayani Kilombero.   Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Ulrich Matei alisema tukio hilo lilitokea   Aprili...
Share:

Wednesday, April 27, 2016

Afisa tarafa matatani kwa ubakaji

 Binti anayedaiwa kubakwa Afisa Tarafa mmoja mkoani hapa, ameingia matatani akituhumiwa kumbaka mwanafunzi wa darasa la sita (jina linahifadhiwa) ndani ya ofisi yake na kumsababishia maumivu makali. Denti huyo mwenye umri wa miaka 12, alisema afisa tarafa huyo amembaka mara tatu kwa siku...
Share:

Monday, April 25, 2016

Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Elimu (Duce) Auawa Kwa Kuchomwa Kisu na Mpenzi Wake

Mwanafunzi wa mwaka wa pili katika Chuo Kikuu cha Elimu (Duce), jijini Dar es Salaam, Bertha Mwarabu (23), ameuawa na mwanafunzi mwenzake kwa kuchomwa kisu kwenye titi na tumboni kwa kinachodaiwa ni kutokana na wivu wa mapenzi. Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kinondoni,...
Share:

Video: Mwajiri amlisha sumu mfanyakazi wake

Siku moja baada ya kituo cha afya cha Tandale kukiri kumpokea kijana Abdul Mohamed anayedaiwa kulishwa sumu na mwajiri wake na kisha kupewa rufaa katika hospitali ya Mwananyamala, kumemlazimisha mganga mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Dk. Azizi Msuya kuingilia kati swala la mgonjwa huyo baada...
Share:

Thursday, October 1, 2015

Ukatili! Mtoto wa darasa la nne aunguzwa na maji ya moto na shangazi yake

Mtoto Dorine anayedaiwa kuchomwa mikono na shangazi yake. Ni ukatili ulioje ambao amefanyiwa mtoto Dorine (12), denti wa darasa la nne Shule ya Msingi Makabe, Mbezi jijini Dar. Dorine anadaiwa kuunguzwa na maji ya moto yaliyochemshwa kwenye jiko la gesi na walezi wake wa karibu akiwemo shangazi...
Share:

Wednesday, September 30, 2015

Unyama: Watu Watano wa Familia Moja Wachinjwa Kama Kuku Simiyu

Watu watano wamefariki dunia papo hapo kwa kukatwa katwa  mapanga  na kuchinjwa kama wanyama katika kitongoji cha Kisesa kata ya Bugalama wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu. Watu hao ambao ni wa familia moja walifanyiwa unyama huo kwa kukatwa katwa mapanga sehemu ya shingoni. Akizungumza ...
Share:

Thursday, December 5, 2013

UKATILI! AMUUA MPENZI WAKE KWA KUMCHOMACHOMA NA KISU BAADA YA WAZAZI WA BINTI KUMKATAA ASIMUOE....

.KIFO cha kikatili cha mwanafunzi aliyeuawa siku chache baada ya kuhitimu kidato cha nne katika Shule ya Sekondari Luguruni na mkazi wa Kimara Golani, Dar, Sharifa Rajab (18) bado ni simanzi nzito katika familia yake.Sharifa aliuawa kikatili Novemba 22, mwaka huu, Kimara Golani jijini Dar na mtu...
Share:

Tuesday, November 12, 2013

MWENYEKITI WA CCM ATOLEWA UTUMBO NA WAMANG'ATI WALIOKAIDI AMRI YA KUTOPITISHA MIFUGO YAO BARABARANI.....

MWENYEKITI wa CCM Kijiji cha Chole wilayani Kisarawe, Pwani, Kondo Shamte (36) yuko katika hali mbaya baada ya kuchomwa mkuki tumboni na wafugaji wa kabila la Wamang’ati na kusababisha utumbo wake kuwa nje.Kwa mujibu wa mwenyekiti huyo ambaye kwa nafasi yake kijijini hapo ndiye anayeheshimika zaidi,...
Share:

Friday, November 8, 2013

PICHA ZINTISHA..!! KIJANA ACHINJWA KAMA KUKU KISHA WAUAJI WAONDOKA NA KICHWA CHAKE..!!

MATUKIO ya mauaji ya kikatili yameendelea kushamiri mkoani Rukwa, baada ya watu wasiojulikana kumuua kikatili mtu mmoja kwa kumchinja  na kutokomea kusikojulikana na kichwa cha mtu huyo. Baadhi ya askari polisi wakitelemsha maiti ya mtu ambaye ameuawa  kwa kukatwa kichwa na watu...
Share:

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © 2025 GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger