
Duru za kampuni ya ndege ya EGYPTAIR
zimesema kuwa wizara ya usafiri wa anga nchini humo imepokea barua
rasmi kutoka kwa wizara ya maswala ya kigeni nchini Misri
inayothibitisha kupatikana kwa mabaki ya ndege iliotoweka ya MS 804
karibu na kisiwa cha Karpathos.
Hivyobasi kampuni hiyo imetuma...