
Hatimaye mtangazaji wa Clouds Fm, Gardner G. Habash
amemjibu aliyekuwa mkewe, Lady Jay Dee, aliyemtaka aombe radhi ndani ya
siku saba kwa kauli aliyoitoa iliyodaiwa kuwa imelenga kumdhalilisha.
Katika majibu yake amekana madai hayo.
Siku
chache zilizopita, Gardner alionekana katika kipande...