
Kambi ya upinzani imeliibua upya bungeni sakata la Escrow, Richmond na
umiliki wa kampuni ya IPTL, huku ikihoji sababu za Rais John Magufuli
kutoheshimu maazimio ya Bunge ya kumwajibisha Sospeter Muhongo, badala
yake kumteua tena kuwa Waziri wa Nishati na Madini.
Hoja hizo
ziliibuliwa...