Showing posts with label BUNGE. Show all posts
Showing posts with label BUNGE. Show all posts

Friday, May 20, 2016

Sakata la Escrow na IPTL Laibuka Upya Bungeni

Kambi ya upinzani imeliibua upya  bungeni sakata la Escrow, Richmond na umiliki wa kampuni ya IPTL, huku ikihoji sababu za Rais John Magufuli kutoheshimu maazimio ya Bunge ya kumwajibisha Sospeter Muhongo, badala yake kumteua tena kuwa Waziri wa Nishati na Madini. Hoja hizo ziliibuliwa...
Share:

Keissy Amvaa John Mnyika......Asema Hapaswi Kumfananisha Profesa Muhongo na Edward Lowassa

Jina la aliyekuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya Chadema akiungwa mkono na vyama vya upinzani vilivyounda Ukawa, jana liliingia tena katika Bunge la Kumi na Moja na kuzua mvutano. Lowassa alitajwa na Mbunge wa Nkasi Kaskazini, Ally Keissy (CCM), wakati akijibu hoja za Mbunge wa Kibamba,...
Share:

Thursday, May 19, 2016

Mbunge wa CCM Anusurika Kupigwa na Wabunge wa UKAWA

Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Jackline Msongozi juzi jioni alinusurika kipigo kutoka kwa wabunge wanawake wa UKAWA baada ya kuwaeleza kuwa upande huo una wabunge wawili tu wenye michango ya maana ambao ni Upendo Peneza (Viti Maalumu Chadema) na Magdalena Sakaya (Kaliua - CUF). Akichangia ...
Share:

Zitto Kabwe, Halima Mdee na John Heche Wawekwa Kitimoto.....Wahojiwa Kwa Dakika 90 Kwa Kufanya Fujo Bungeni

MBUNGE wa Kigoma Mjini, Kabwe Zitto (ACT-Wazalendo) na wenzake wawili, jana wamehojiwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Haki, Kinga, Maadili na Madaraka ya Bunge, George Mkuchika kwa kufanya fujo bungeni kuhusu suala la Bunge kutorushwa ‘live’. Mbali na Zitto, wengine waliohojiwa...
Share:

Saturday, May 14, 2016

Nape Nnauye Asulubiwa Bungeni ......Wabunge Wamwita ni Waziri Mzigo ( Lumbesa)

Wabunge wamemcharukia Waziri wa Habari, Nape Nnauye kwamba aliwahi kuwaita mawaziri wa Serikali iliyopita mizigo, lakini yeye amezuia matangazo ya moja kwa moja ya Bunge, ili wananchi washindwe kumpima kama ni mzigo au lumbesa.  Hayo yalijitokeza jana wakati wabunge walipochangia hotuba...
Share:

Friday, May 13, 2016

Spika Job Ndugai Awagomea Wabunge Waliotaka Utaratibu wa Kusaini Mara Mbili Kwa Vidole Ufutwe

SPIKA wa Bunge, Job Ndugai amejibu mwongozo ulioibuliwa na wabunge bungeni wa kutaka utaratibu wa kusaini kwa kutumia kidole mara mbili kwa siku uondolewe, kwa kusisitiza kuwa utaratibu huo hautabadilishwa. Majibu ya mwongozo huo aliyatoa bungeni Dodoma jana wakati akijibu mwongozo ulioombwa...
Share:

Mbunge Apewa Siku 3 Atoe Ushahidi wa Magari 777 ya Washawasha

SPIKA wa Bunge, Job Ndugai amempa siku tatu Mbunge wa Viti Maalumu, Susan Lyimo (Chadema) awasilishe mbele ya Kamati ya Maadili ya Bunge, maelezo ya utetezi dhidi ya madai aliyotoa bungeni kuhusu Serikali kununua magari ya washawasha 777. Ndugai alitoa amri hiyo kutokana na mwongozo...
Share:

Thursday, May 12, 2016

Mbunge wa Ulanga, Godluck Mlinga (CCM) Atoa Tuhuma nzito kwa TRA, TCRA, EWURA

Mbunge wa Ulanga, Godluck Mlinga (CCM) ameyatuhumu mashirika ya umma ambayo hayajajiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kuwa watendaji wake wakuu wamepewa malipo ya asilimia 10 ili mashirika hayo yajiunge na kampuni binafsi za bima. Ameyataja baadhi ya mashirika hayo ya umma...
Share:

Tuesday, May 10, 2016

Mbunge Adai Kuna Wabunge Wanavuta Bangi na Madawa ya Kulevya Bungeni

Mbunge wa Viti Maalum, Mariam Msabaha (Chadema) ametoa tuhuma nzito kuwa ndani ya Bunge kuna wabunge vijana wanaovuta bangi na kutumia dawa za kulevya. Mbunge huyo amemuomba Rais John Magufuli kuagiza wabunge wa aina hiyo ambao hata hivyo hakuwataja wapelekwe Jeshi la Kujenga Taifa...
Share:

Mbunge Apinga Wakunga Wanaume Kuruhusiwa Kuwahudumia Wanawake Wakati wa Kujifungua

Mbunge wa Viti Maalumu (CUF), Riziki Mngwali amepinga mpango wa Serikali kuajiri wakunga wanaume katika baadhi ya zahanati kuhudumia wajawazito wakati wa kujifungua kuwa ni udhalilishaji dhidi ya wanawake. Mbunge huyo ameitaka Serikali kuzingatia mila za Kiafrika, akisema imezoeleka...
Share:

Sunday, May 8, 2016

Kwa Hali Iliyopo Sasa Hivi Ni Ndoto Tanzania Kuwa na Uchumi wa Viwanda

Wabunge wamesema ni vigumu Tanzania kufikia lengo la kuwa na uchumi wa viwanda iwapo Serikali itaendelea kusuasua kutekeleza miradi yenye mchango mkubwa katika sekta hiyo.Akisoma maoni ya Kamati ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji kwa mwaka 2016/17, Makamu mwenyekiti wa kamati hiyo, Vicky Kamata...
Share:

Saturday, May 7, 2016

Tundu Lissu Ataka Serikali Itaje Umri wa Jaji Mkuu Chande na Iseme Lini Atastaafu

Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema), ameitaka serikali itaje umri wa Jaji Mkuu, Othman Chande, ama kuweka wazi ni lini atastaafu. “Hivi umri wa kustaafu kwa jaji mkuu ni miaka mingapi?" Aliuliza Lissu Bungeni juzi wakati wa mjadala wa bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria. "Ina...
Share:

Mbunge Ataka Walawiti na Wabakaji Wahasiwe

MBUNGE wa Viti Maalumu, Angelina Malembeka (CCM) ametaka watu wanaohukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kosa la ubakaji na ulawiti, wahasiwe ili wawapo gerezani wasiendeleze tabia hizo. “Tumeshaona wanaohukumiwa kifungo cha maisha, wakiwa huko gerezani wanaendeleza vitendo vya kulawitiana,...
Share:

Friday, May 6, 2016

Kimenuka! Wabunge Wanawake UKAWA Watoka Bungeni Baada ya Mbunge wa CCM Kusema Nafasi Zao Zinapatikana kwa Rushwa ya Ngono

Kikao cha Bunge leo kimechafuka baada ya wabunge wanawake wa Ukawa kutoka nje ishara ya kupinga kitendo cha wao kuambiwa nafasi zao za viti maalumu zinatolewa kwa njia ya ngono ya Ruswa. Matamshi hayo yametolewa leo na Mbunge wa Ulanga Mh Goodluck Mlinga wakati kikao cha Bunge kikiendelea. TAZAMA...
Share:

Mwita Waitara Azusha Tafrani Bungeni.......Ni Baada ya Kutaka Kumchapa Ngumi Mbunge wa Kasulu Aliyedai Tundu Lissu na Mnyika Ni Vichaa

Mbunge  wa Ukonga, Mwita Waitara (Chadema) ametolewa nje ya Bunge baada ya kutaka kumkwida Mbunge wa Kasulu Vijijini, Agustine Holle (CCM) aliyedai kuwa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu na Mbunge wa Kibamba, John Mnyika wote wa Chadema kuwa wanaugua kichaa. Waitara ...
Share:

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © 2025 GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger