Showing posts with label UWOYA. Show all posts
Showing posts with label UWOYA. Show all posts

Wednesday, December 4, 2013

SINTAH NAYE AFUNGUKA BAADA YA IRENE UWOYA KUAMBULIA MAKAVU LIVE HAPO JANA....

. Sintah amefunguka katika blog yake kuhusu mwanadada Irene Uwoya kubugi siku ya jana na kuweka Picha ya Vin Diesel akidhani ni Paul Walker. Soma hapo chini alichokisema Van Diesel ambayeIrene alifikiri ni Paul WalkerLet me a shame the devil, mara nyingi wanapokufa mastaa wa nje jamani ktk...
Share:

Friday, October 4, 2013

IRENE UWOYA APOROMOSHEWA MVUA YA MATUSI NA MASHABIKI WAKE MARA BAADA YA KUMNYWESHA POMBE MWANAYE NA KUWEKA PICHA YAKE MTANDAONI..!!

Picha aliyoipost mtandaoni Staa wa filamu za Kibongo,Irene Uwoya ikimuonyesha mtoto wake Krish Ndikumana akiwa ameshika glasi ya pombe imemfanya msanii huyo ashambuliwe baada ya mashabiki wake kutoa maoni kwamba hapaswi kufanya hivyo kama mzazi na kioo cha jamii kwani anamfundisha tabia mbaya mtoto...
Share:

Wednesday, April 17, 2013

"NILIPOFUMANIWA DIAMOND NDIKUMANA WANGU ALIZIMIA"......UWOYA...!!

Mapenzi bwana! Ukiambiwa yanaweza kuua usibishe kabisa, kwani ukiondoa mifano mingine ya kufikirika, kitu ‘live’ ni kwamba mwanasoka raia wa Rwanda, Hamad Ndikumana ‘Kataut’, alianguka na kuzimia, baada ya kupata taarifa mbaya kuhusu mkewe.Ndikumana, alianguka na kuzimia, asubuhi ya Aprili 8, mwaka...
Share:

Monday, April 15, 2013

BAADA YA KUNASWA LIVE NA DIAMOND WAKILA URODA JOKETI 'KIDOTI' AMKEJELI IRENE UWOYA...!!

MWANAMITINDO Jokate Mwegelo ‘Kidoti’, ameangua kicheko baada ya kusikia mwigizaji Irene Uwoya kunaswa hotelini na Nasibu Abdul ‘Diamond’.Jokate aliangua kicheko hicho juzikati jijini, Dar wakati alipozungumza na paparazi wetu na alipogusiwa kuhusu suala la Uwoya kunaswa na Diamond, alicheka sana...
Share:

Friday, April 12, 2013

"UWOYA NI SIKIO LA KUFA"....MWAKIFAMBA

RAIS wa Shirikisho la Filamu Tanzania, Saimon Mwakifwamba amefungukia ishu ya msanii wa filamu Bongo ambaye pia ni mke wa mtu, Irene Uwoya kunaswa hotelini na mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’ na kusema mdada huyo ni sikio la kufa ambalo halisikii dawa. Akizungumza kwa uchungu na paparazi wetu,...
Share:

Thursday, April 11, 2013

BAADA YA KUNASWA NA UWOYA WAKILA URODA, DIAMOND SASA ASAMBARATISHA RASMI NDOA YA NDIKUMANA NA IRENE UWOYA, PENNY NAYE ATISHIA KUITOA MIMBA YAKE...!!

JAMBO limezua jambo, lile sakata la kunaswa hotelini kwa Nasibu Abdul ‘Diamond’ na Irene Uwoya limezaa matunda hasi kwa ndoa ya mwadada huyo ambayo sasa imevunjika rasmi, Amani limetonywa.Habari ya wawili hao kunaswa na kubainika kulala katika chumba kimoja namba 208 kwenye hoteli maarufu iliyopo...
Share:

Wednesday, April 10, 2013

BAADA YA KUPATA SKENDO YA KUGAWA URODA KWA DIAMOND,IRENE UWOYA AAMUA KUELEZA YA MOYONI...!!

Baada ya habari nyingi sana kuhusu Irene Uwoya kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na Diamond platnumz kutawala vyombo vya habari na kwenye mitandao hapo juzi, hatimaye bongomovies.com tuliamua kumtafuta kwa simu mwanadada Irene Uwoya ili tuweze kumuuliza juu ya tuhuma hizi za yeye kuingilia penzi...
Share:

Tuesday, April 9, 2013

SKENDO:BAADA YA KUMPA MIMBA PENNY, DIAMOND NA IRENE UWOYA WANASWA LAIVU GESTI 'WAKILA URODA'...!!

Diamond na Uwoya, walifanya jitihada za hali ya juu kuuficha ukweli kuhusu uhusiano wao lakini ilipofika Machi 25, mwaka huu, walinaswa na kamera zetu kwenye hoteli moja yenye hadhi ya nyota tano, iliyopo Mbezi Beach, Dar es Salaam.The Biggest IQ, Ijumaa Wikienda, linathubutu kwa kuwa lina ushahidi...
Share:

Wednesday, April 3, 2013

UWOJA, NDIKUMANA WALIREJESHA PENZI LAO....!!

 KUNA maswali tena? Ndoa ya staa kiwango cha juu Bongo, Irene Uwoya na mumewe Hamad Ndikumana 'Kataut' anayeng'ara katika kabumbu akikipiga pande za Rwanda imerejewa na uhai tena...
Share:

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © 2025 GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger