Showing posts with label KIKWETE. Show all posts
Showing posts with label KIKWETE. Show all posts

Tuesday, December 3, 2013

RAIS KIKWETE AMCHAGUA DR ASHA-ROSE MIGIRO KUWA MBUNGE....

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail:  ikulumawasiliano@yahoo.com              press@ikulu.go.tz             ...
Share:

Sunday, October 6, 2013

KATIBA YAMVURUGA RAIS KIKWETE....WAPINZANI WAMPA MASHARTI MAZITO KUKUTANA NAE KABLA YA TAREHE 10....

SIKU moja baada ya Rais Jakaya Kikwete kuvisihi vyama vya CHADEMA, CUF na NCCR-Mageuzi kusitisha maandamano yao na kurejea meza ya mazungumzo ili kupata muafaka wa muswada wa sheria ya kubadili sheria ya mabadiliko ya katiba, vyama hivyo vimetoa masharti mazito ya kukutana naye. Hatua hiyo inakuja...
Share:

Saturday, October 5, 2013

"MAMBO SHWARI RWANDA NA TANZANIA"....KIKWETE

Rais wa TZ , Jakaya KikweteRais wa Tanzania Jakaya Kikwete ametangaza kuwa mgogoro baina ya Tanzania na Rwanda umemalizika.Katika hotuba yake ya mwisho wa mwezi kwa raia wa nchi hiyo Rais Kikwete amesema hatua hiyo inafuatia mazunguzo baina ya viongozi hao wawili yaliyofanyika hivi karibuni nchini...
Share:

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JAKAYA MRISHO KIKWETE, KWA WANANCHI, TAREHE 4 OKTOBA, 2013

Ndugu Wananchi;          Namshukuru Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehema, kwa kutujaalia uzima na kutuwezesha kumaliza mwezi Septemba salama na kuwasiliana kwa kutumia utaratibu wetu huu mzuri.  Naomba radhi kuzungumza nanyi siku ya leo kwa sababu nilikuwa...
Share:

Tuesday, May 21, 2013

RAIS KIKWETE AMWAGIA SIFA LOWASSA......AMEDAI KWAMBA LOWASSA NI "JEMBE"

Rais Jakaya Kikwete amemwagia sifa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa hatua ambayo inaweza kutafsiri mengi katika medani ya siasa nchini.   Akizungumza na wabunge wa CCM kwenye Ukumbi wa White House Dodoma juzi, Rais Kikwete ambaye pia mwenyekiti wa chama hicho, alisema nguvu za Lowassa...
Share:

Monday, May 20, 2013

PICHA: RAIS KIKWETE AONGOZA MAZISHI YA MZEE ALLY KLEIST SYKES...!!

Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ghalib Bilali, Rais wastaafu Alhaji Ali Hassan Mwinyi na Mzee Benjamin William Mkapa, Waziri Mkuu Mstaafu Dkt Salim Ahmed Salim, Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana wakiungana na mamia ya waombolezaji katika mazishi ya Mzee Ally Kleist...
Share:

"MNAOTAKA URAIS ANZENI KUPITAKUPITA ILI MJULIKANE".....HII NI KAULI YA RAIS KIKWETE

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete amefungua milango kwa kuwataka baadhi ya watu ndani ya chama hicho wanaowania urais mwaka 2015 kuendelea na mchakato huo.Rais Kikwete amewatahadharisha watu hao kuendesha kampeni zao kwa ustaarabu pasipo kuibua chuki wala kujenga makundi...
Share:

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © 2025 GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger