Thursday, April 28, 2016

VIDEO: Kitilya na wenzake warudishwa rumande

April 01 2016 aliyekuwa Kamishna wa TRA, Harry Kitilya, Sioi Solomoni na aliyekuwa afisa mwandamizi wa benki ya Stanbic tawi la Tanzania na  Miss Tanzania wa mwaka 1996 Shose Sinare walifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es salaam kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo kosa  la utakatishaji fedha.

Kesi hiyo imeendelea April 27 2016 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ambapo Mahakama imefutilia mbali shitaka la utakatishaji fedha lililokuwa linawakabili washitakiwa wote  hivyo washitakiwa wamebaki na mashitaka saba.
Share:
Weka Maoni yako Hapa

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger