Thursday, April 28, 2016

Bomba la Mafuta toka Tanga hadi Uganda, Wakenya wanuna tena


Tanzania kushinda mradi wa kujenga bomba la mafuta ghafi kutoka Uganda kwenda Bandari ya Tanga kwa ajili ya kusafirisha nchi mbalimbali duniani kumeonekana kuwanunisha baadhi ya Wakenya ambao awali waliamini tenda hiyo ingeangukia mikononi mwao, Amani linashuka na jambo.

Hilo lilibainika hivi karibuni kufuatia mfanyabiashara mmoja wa Kenya aliye jijini Dar, John Ngugi kuzungumza na Amani na kusema kuwa, Wabongo kupata mradi huo kumewanunisha baadhi ya Wakenya kwa vile mradi huo utaingiza pesa nyingi sana kwa taifa.

MSIKIE HUYU
Kumbe ilikuwa itoke kwa Museven (Yoweri, Rais wa Uganda) mpaka Bandari ya Lamu au Mombasa.
Wakenya waduwaa bomba kuja Tanzania.

magufuli1Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli.

Wakenya wamezoea wakiona kitu kizuri cha Bongo wanakifanyia tangazo kwamba kiko nchini Kenya huku mitandao ya kijamii ikidaiwa kucheza michezo hiyo.
kama Mlima Kilimanjaro, Bonde la Olduvai Gorge, Daraja la Kigamboni.
museveniRais wa Uganda, Yoweri Mseveni.
  • Mbinu za Ushindi
    Mbinu ya ushindi ya kulinasa bomba hilo yabainika
  • A-Z, Rais Magufuli alivyompokonya tonge mdomoni Rais Kenyatta.
  • Ubora na usalama wa Bandari ya Tanga wachangia.
  • Umakini wa JPM katika kusimamia miradi ya Serikali wachochea ushindi.
Share:
Weka Maoni yako Hapa

Habari Zinginezo:

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © 2025 GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger