Tuesday, July 21, 2015

Mtoto wa miaka 18 anywa sumu baada ya boyfriend wake kumbwaga


Mtoto wa miaka 18 (anayeonekana pichani hapo juu) amekunywa nusu chupa ya dawa ya kuulia wadudu iitwayo sniper baada ya boyfriend wake anayeonekana kwenye picha kumbwaga.

Mtoa taarifa  wetu, Aisha Yesufu  ambaye alishare taarifa hizi kwenye mtandao mmoja wa kijamii,twitter,alisema kuwa  mdada huyo sasa bado amelazwa hospitali na madaktari wamesema moyo wake umeathiriwa na sumu iliyokuwa kwenye dawa. Boyfriend wake aliye mbwaga imebidi aitwe ili amfariji kama anavyoonekana pichani. 

Share:
Weka Maoni yako Hapa

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger