Watu wote wakiume na wakike unaowaona hapa kwenye picha wamefariki baada ya gaidi mmoja mwenye umri wa miaka 18 kujitoa mhanga. Gaidi huyo anayehisiwa kuwa ni mwanachama wa kikundi hatari cha kigaidi huko Uturuki,alijiripua katikati yao jana sehemu moja inayoitwa Suruc,Uturuki. Inasikitisha sana...
0 comments:
Post a Comment