Saturday, October 27, 2012

Picha: Mwalimu anaswa AKIMF**RA mwanafunzi wake kwenye DAWATII!!!



Hali
imekuwa tete hivi karibuni baada ya mwalimu wa shule moja hapa nchini kukutwa akimfanyia vitendo vya kishetana mwanafunzi wake wa kike.

Jicho la tatu la CAMERA yetu iliunasa mchezo huo live!! wakati wawili hao waiendelea na ufuska ambao konyesha mwalimu huyo alikuwa na dhamira mbaya na mwanafunzi wake alithubutu kutimiza uovu wake huo katika madawati ya darasa lake hilo.


Tabia mbaya ya mwalimu huyo ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja imetia hofu miongoni mwa wanafunzi wa wanaosoma kwa mwalimu huyo kwa hali hiyo ya kusikitisha imeonekana kuwagusa wazazi wa wanafunzi wengi ambao walikuwa wakisoma kwa mwalimu huyo


Wimbi la wanafunzi kufanya ufuska na walimu wao imekua ni kitu ccha kawaida mno hapa Nchini Kwetu kwa mara kadha tumeshashuhudia wanafunzi wakishindwa kumaliza masomo kwa kesi tofauti tofauti ikiwemo ile ya kupewa ninba na walimu wao.


Hivi Wizara husika inaviona vitendo viovu kama hivi?

'YAANI WALIMU NDIO SIMBA KWA WANAFUNZI WAO SIKU HIZI, HAWAACHI HATA MFUPA ?'J
Share:
Weka Maoni yako Hapa

Habari Zinginezo:

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © 2025 GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger