Tuesday, March 12, 2013

AIBU: WAREMBO WACHAPANA MAKONDE HADHARANI WAKIGOMBANIA BWANA...!!


Hii sasa ni laana kwa dada zetu kwa kufikia hatua hii ya kupigana na kuzalilishana na kuachana uchi tena mbele za watu kisa wanaume:Tunawaomba wakina dada wajiheshimu jamani,

Katika hali ambayo iliwashtua wengi ni pale warembo hao alipoamua kuchapana makonde laivu huku kila mmoja akidai  kuibiwa mpenzi na mwenzake.... HII NI HATARI
Share:
Weka Maoni yako Hapa

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger