Wanafunzi wa Chuo Cha Uongozi wa Fedha (IFM) wakielekea kupanda Difenda huku wakiangukiana baada ya kupigwa mabomu kwenye kituo cha Pilisi Kigamboni walipofika kulazimishwa kufanya, mkutano na Kamanda Kova mbele ya Kituo hicho badala ya Eneo lililoandaliwa kwenye viwanja vya mpira vya Machava.
0 comments:
Post a Comment