Tuesday, January 15, 2013

PICHA: HAYA NDIYO YALIYOTOKEA WAKATI POLISI WAKITOA KICHAPO KIKALI KWA WANAFUNZI WA IFM HUKO KIGAMBONI...!!

Wanafunzi wa Chuo Cha Uongozi wa Fedha (IFM) wakielekea kupanda Difenda huku wakiangukiana baada ya kupigwa mabomu kwenye kituo cha Pilisi Kigamboni walipofika kulazimishwa kufanya, mkutano na Kamanda Kova mbele ya Kituo hicho badala ya Eneo lililoandaliwa kwenye viwanja vya mpira vya Machava.
Share:
Weka Maoni yako Hapa

Habari Zinginezo:

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © 2025 GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger