Thursday, January 3, 2013

PICHA CHA UTUPU ZAZIDI KUPOROMOSHA MAADILI YA KIAFRIKA...!!


Tamaa  ya pesa  imeendelea kuwa kikwazo katika  maisha  yetu  ya kila  siku.......

Matuko  ya  ajabu  yenye  tamaduni  za  nchi  za  magharibi  yameendelea  kuwa kikwazo kikubwa  katika mila na  tamaduni zetu.....


Huyu  ni  binti  aliyefahamika kwa  jina moja la Jackline.Yeye na bahasha  wake inaonesha  hawazitambui thamani na utu wa  mwafrika.....

Share:
Weka Maoni yako Hapa

Habari Zinginezo:

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © 2025 GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger