Sunday, October 28, 2012

PICHA ZA UTUPU ZA KAREN WA BBA ZASAMBAA KWENYE MTANDAO



Mnigeria Karen ambae alijichukulia mamilioni baada ya kutangazwa mshindi wa shindano la Big Brother Africa 2011 ametumia page yake ya twitter kuomba mtu asiefahamika alieingia kwenye computer yake bila ruhusa kuacha kusambaza picha zake akiwa nusu uchi ambazo zimeanza kusambazwa kwenye internet.

naijagists.com wameripoti kwamba hii ishu imetokea siku kadhaa tu baada ya staa huyu kusema amekua hatongozwi na wanaume kwa sababu wanamuogopa, na akasisitiza kwamba yeye ni mwanamke kama wanawake wengine hivyo asiogopwe.


Share:
Weka Maoni yako Hapa

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger