
Ofisi
ya Bunge imebaini upotoshwaji mkubwa Katika habari iliyochapishwa na
Gazeti la Nipashe toleo la Aprili 16, 2016 yenye kichwa cha habari
kisemacho “ Bunge sasa laufyata mkataba wa Lugumi”.
Habari
hiyo imeandikwa kufuatia ufafanuzi uliotolewa na Bunge jana kuhusu
maagizo yaliyotolewa...