Miezi michache iliyopita mwanaBongomovie Lulu aliamua kumtangaza mpenzi
wake hadharani kua ni Majay, mkurugenzi wa Efm. Na maswali ya mashabiki
wengi yakawa ni kweli watadumu au ndo atakua kafika na kuamua
kuolewa????
Lulu aliamua kujibu maswali hayo pale alipoamua kujibu maswali aliyokua akiulizwa na mashabiki wake kwa njia ya video. Katika video hiyo Lulu aliamua kufunguka mambo mengi sana ikiwemo ufafanuzi wa picha aliyopost ikionyesha kua ana mimba, kama ataolewa au la, na mengine mengi. Unaweza msikiliza katika video hii hapa chini ....
TAZAMA VIDEO HAPA:
Lulu aliamua kujibu maswali hayo pale alipoamua kujibu maswali aliyokua akiulizwa na mashabiki wake kwa njia ya video. Katika video hiyo Lulu aliamua kufunguka mambo mengi sana ikiwemo ufafanuzi wa picha aliyopost ikionyesha kua ana mimba, kama ataolewa au la, na mengine mengi. Unaweza msikiliza katika video hii hapa chini ....
TAZAMA VIDEO HAPA:
0 comments:
Post a Comment