Taarifa
zinasema eneo hilo lenye ukubwa wa heka 33, mali ya Henry Kashangaki
lilikuwa na mgogoro tangu 1997 baada ya kundi la watu 11 kuvamia na
kuanza kujenga nyumba na kuwauzia wananchi wengine.
Tuesday, May 3, 2016
VIDEO: Zoezi la Ubomoaji Nyumba zaidi ya 400 Kibamba, Dar es salaam Jana
Weka Maoni yako Hapa
0 comments:
Post a Comment