Monday, May 2, 2016

Video: Wanaotaka Makao Makuu kuhamia Dodoma, Rais Magufuli Ana Kauli Hii


Mei 1 2016 Maadhimisho ya siku ya wafanyakazi (MEI MOSI) yalifanyika kitaifa mkoani Dodoma na mgeni rasmi akiwa ni Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, Watu mbalimbali walijitokeza katika viwanja vya Jamhuri.

Rais Magufuli alipata nafsi ya kusikiliza changamoto mbalimbali za Wafanyakazi kutoka Chama cha Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) kisha baadae akasimama na kuzungumza na watu wake; tazama video hapa chini
Share:
Weka Maoni yako Hapa

Habari Zinginezo:

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © 2025 GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger