Tuesday, May 3, 2016

Video: Wabunge Watwangana Ngumi Bungeni Kufuatia Mjadala wa Marekebisho ya Katiba

Wanachama wa chama tawala cha Uturuki cha AK na chama kinachoungwa mkono na Wakurdi wamepigana ngumi bungeni kuhusiana na mpango wa kuwaondolea kinga wabunge ya kutoshitakiwa.

Wabunge wakionyeshana umwamba Bungeni nchini Uturuki,
Ngumi hizo ziliibuka bungeni wakati kamati ya bunge ilipokutana kujadili mabadiliko hayo yanayoungwa mkono na serikali ili kubadili Katiba kuwaondolea kinga hiyo wabunge.
Baadhi ya wabunge walikunjana mashati kwenye meza, wengine wakirusha chupa za maji na kurushiana ngumi bungeni.

Share:
Weka Maoni yako Hapa

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger