Wednesday, May 4, 2016

Picha: Mwili wa Marehemu Andrew Sanga Wawasili Jijini Dar es Salaam

Mwili wa Marehemu Andrew Nick Sanga ukiwa Umewasili Tanzania.

null
null

null
null
null
null
Waliowasili na Mwili wa King Drew wakiwasili katika uwanja wa kimataifa wa Julius Kambalage Nyerere
null
null
null
null
null
null
null
Baadhi ya ndugu jamaa na marafiki wakiwa wamefika katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Kambalage Nyerere kuupokea mwili wa Mpendwa wetu Andrew Nicky Sanga
null
null
null
null
null
null
null
null
null
null
null
null
null
null
Baadhi ya Ndugu jamaa na Marafiki wakiwa katika eneo Maalum kwa ajili ya kuupokea mwili
null
Baadhi ya watu wakiwa wamejipanga kwa ajili ya kuupokea Mwili
null
 Yalikuwa ni Majonzi
null
null
Mwili wa Mpendwa wetu Andrew Sanga ukiwa umeshawasili na hapa Ndugu jamaa na Marafiki wakiwa wanaupeleka katika Gari Maalum Tayari kwa kuelekea Muhimbili kumhifadhi.
null
null
Mwili wa Marehemu ukiwa umewasili Muhimbili kwa ajili ya kwenda kuhifadhiwa
null
 Mmoja wa Mwanakamati ya maandalizi akitoa taarifa fupi
null
null
null
null
null
Baadhi ya ndugu jamaa na Marafiki waliofika kwa ajili ya kumsindikiza Marehemu Andrew Sanga Muhimbili Kuhifadhiwa jana usiku
Share:
Weka Maoni yako Hapa

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger