Friday, April 29, 2016

Picha: Mvua Ilivyoathiri Wanaogoma Kutoka Mabondeni

Pamoja na jitihada za Serikali kuhamasisha Wananchi kutoka katika maeneo Hatarishi Mabondeni, ambayo kwa kipindi cha mvua huathirika zaidi.
 
Wananchi wa baadhi ya Maeneo ya Mabondeni, husuan eneo la Mto Msimbazi wamepatwa na adha kubwa kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha Dar es Salaam.

Katika picha ni baadhi tu ya maeneo yaliyoathirika.Athari hizo zimeonekana katika maeneo mbalimbali kama vile Jangwani,Mbezi Beach,Tandale kwa Tumbo.
null
null

null
null
Share:
Weka Maoni yako Hapa

Habari Zinginezo:

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © 2025 GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger