Punde baada ya kupokea habari ya kifo cha ghafla cha gwiji wa muziki wa
Soukus Papa Wemba akiwa katika tamasha la muziki la Abidjan Ivory Coast
, maelfu ya jamaa marafiki na mashabiki wake walianza kumiminika
nyumbani kwake huko Kinshasa katika jamhuri ya kidemokrasia ya Congo.
Vibao vyake ni kama Mwasi,show me the way, Yolele,
Mama,Proclamation"Chouchouna" (Papa Wemba), "Eluzam" na " Mbeya Mbeya"
(Evoloko Lay Lay), "BP ya Munu" (Efonge Gina), "Mwana Wabi" , "Mizou"
(Bimi Ombale) , "Zania" (Mavuela Somo.
0 comments:
Post a Comment