Monday, April 25, 2016

Picha: Mashabiki na Familia waomboleza Papa Wemba


Punde baada ya kupokea habari ya kifo cha ghafla cha gwiji wa muziki wa Soukus Papa Wemba akiwa katika tamasha la muziki la Abidjan Ivory Coast , maelfu ya jamaa marafiki na mashabiki wake walianza kumiminika nyumbani kwake huko Kinshasa katika jamhuri ya kidemokrasia ya Congo.







Vibao vyake ni kama Mwasi,show me the way, Yolele, Mama,Proclamation"Chouchouna" (Papa Wemba), "Eluzam" na " Mbeya Mbeya" (Evoloko Lay Lay), "BP ya Munu" (Efonge Gina), "Mwana Wabi" , "Mizou" (Bimi Ombale) , "Zania" (Mavuela Somo.
Share:
Weka Maoni yako Hapa

Habari Zinginezo:

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © 2025 GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger