Tuesday, July 21, 2015

Nay wa Mitego kamvalisha pete Shamsa


Jana kupitia ukurasa wake wa @Instagram Shamsa Ford alimshukuru Nay wa Mitego kwa kumvalisha pete…
 
Nay amesema amempa tu pete kama zawadi na si kumvalisha.
 
Amesema anaona hiyo ni zawadi ambayo ataweza kumkumbuka nayo tofauti na zawadi nyingine…amesema kama itakuwa vinginevyo atakuwa tayari kuweka wazi.
A photo posted by shamsa Ford (@shamsaford) on
Share:
Weka Maoni yako Hapa

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger