Friday, October 11, 2013

ZITTO --Wabunge wa CCM wanataka kujiongezea muda wa Ubunge hadi 2017


Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Mh. Zitto Kabwe amesema kuwa kuna mkakati unaofanywa na wabunge wa CCM kujiongezea muda wa kuendelea kukaa madarakani kwa kujitahidi kuzuia na kuhujumu Mchakato wa Katiba
Share:
Weka Maoni yako Hapa

Habari Zinginezo:

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © 2025 GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger