Tuesday, October 15, 2013

PICHA: ASHANTI ASHEREKEA BIRTHDAY YAKE, AMEFIKISHA MIAKA 33....

Msanii aliyekuwa chini ya record lebel kubwa duniani 'Murder Inc' amesherekea siku yake ya kuzaliwa na marafiki wake wa karibu weekend hii. Ashanti amefikisha miaka 33 na mara ya mwisho amezungumza kuhusu muziki wake alisema hajafeli baada ya kutengana na Murder Inc ila ana fanya bidii za kurudi na solo project, anacho hitaji ni muda.

Mwezi ujao November 9 anatoa album yake mpya na ya tano inayoitwa 'BraveHeart' .


Share:
Weka Maoni yako Hapa

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger