Monday, May 27, 2013

HIVI NDIVYO NEY WA MITEGO ANA DIAMOND WALIVYOPAGAWISHA NDANI YA MAISHA CLUB..!!



Hatuelewi mpaka now watoboa Pua awajawasili.......
''Kijana umejipanga leo,usitegeme viuno vitakusaidia
 leo stejini'' Nay akimsalimu Diamond alipowasili
Maisha Club.....
Tukiwasili Maisha Club nikiwa na Crew yangu nzima
 ya wasafi na Nay wa Mitego
pembeni with Mkong'oto Jazz Band.....
Hapa ndipo kwenye Uhusika zaidi....Black & White
Carpets......Diamond Platnum
 & Nay wa Mitego....

Abdallah....On set Planet Bongo........

Hahahahahhaa Dimpoz bhana.......ACHA tu huyu jamaa 
asingekuwa Mwanamuziki angekuwa 

Comedian......
.

True Boy akizungumza nao fans wake.......
wa Manzese Hammi.....


Aaanhaaa...... Maisha Mtanielewa asa hivi au Baadae....'' 
Nay akiwauliza mashabiki waliofurika

Ukumbini humo.....
Hyperman H.K ndo alikuwa msema chochote on the stage
 kusukuma Gurudumu...
Wasafi wakaanza kufanya Balaa lao taratibu......


Tuimbe wote sasa.....Maisha Lets Go......










Tuendeleeee ama tusiendeleeeeee............?




Kizai zai......ni mwendo wa viuno tu stejini......



\
Si ndio Diamond na Nay wakaanza kufanya yao stejini.....



Palikuwa Hapatoshi hapa kati....Patashika nguo kuchanika.....
Si ndio nikajua tayari Mwana Hip Hop Nshambadilisha.....ni mwendo
wa kudono donoa tu.....
QBoy Msafiii along side with Ommy Dimpoz kwa pozi,B
ckstage muda mchache baada ya
Show.....
Baada ya show.....Interview kadhaa na Lugha Kali toka
Clouds tv alonng side with my Boy Ttue oy

Share:
Weka Maoni yako Hapa

Habari Zinginezo:

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © 2025 GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger