Friday, March 1, 2013

LINEX AMVISHA PETE DEMU WAKE WA KIZUNGU....!!





Mambo ya madini 

Wifi yetu katika pose

Wapendanoooooooo safi sana

Full kuringishia madini!!
Weekend hii, mtu mzima Sunday Mjeda aka Linex aka Mr VOA (Voice Of Africa),alifanya yake kwa kumvisha pete mpenzi wake, ambae ni  ambae ni  mwenyeji wa Finland anaeitwa Suvi.


 According to sources Linex aliamua kufanya kimya kimya tena wakiwa wawili tu, kwasababu hakutaka kujionyesha, na anaamini ile ni kitu  very personal haikuhitaji manjonjo mengi.

Well hongera zao na tunawatakia kila la kheri.
Share:
Weka Maoni yako Hapa

Habari Zinginezo:

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © 2025 GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger