Tukio hili lilitokea eneo la Kitunda Dar es salaam pale mtoto huyu alipoangusha baiskeli iliyokua na trei 25 za mayai. Ni ngumu kuamini kama Baba mzazi wa mtoto ndiye aliyetenda kitendo hiki.
Friday, February 8, 2013
BABA AMCHARANGA MAPANGA MTOTO WAKE KWA KUANGUSHA TREYI ZA MAYAI..!!
Tukio hili lilitokea eneo la Kitunda Dar es salaam pale mtoto huyu alipoangusha baiskeli iliyokua na trei 25 za mayai. Ni ngumu kuamini kama Baba mzazi wa mtoto ndiye aliyetenda kitendo hiki.
Weka Maoni yako Hapa
0 comments:
Post a Comment