Friday, February 8, 2013

TIWA NA MENEJA WAKE SASA MAMBO HADHARANI....

Info kutoka Naija ni kwamba staa wa muziki Afrika Mnigeria Tiwa Savage amevishwa pete ya uchumba na meneja wake aitwae Tee Billz ambae wamekua kwenye mapenzi mazito kwa kipindi kirefu lakini kwa kufichaficha.

Tee Billz amemvisha Tiwa Savage pete hiyo ya uchumba wakati staa huyo wa kike akisherehekea siku yake ya kuzaliwa ambapo taarifa za kuaminika ni kwamba wawili hao wanampango wa kuona kabla ya mwisho wa mwaka huu.
.
.
.
.
.
Share:
Weka Maoni yako Hapa

Habari Zinginezo:

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © 2025 GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger