Rapper mwenye mashairi ya utata, Ney wa Mitego hivi karibuni alikuwa location kushoot video ya ngoma yake mpya ‘Wamenichokoza’. Katika kupata kitu tofauti zaidi kwenye video hiyo, Ney ameamua kuifanyia video hiyo makaburini. Hizi ni baadhi ya picha za behind the scenes.
Tuesday, January 15, 2013
NEY WA MITEGO ASHOOT VIDEO YAKE MPYA AKIWA MAKABURINI...!!
Rapper mwenye mashairi ya utata, Ney wa Mitego hivi karibuni alikuwa location kushoot video ya ngoma yake mpya ‘Wamenichokoza’. Katika kupata kitu tofauti zaidi kwenye video hiyo, Ney ameamua kuifanyia video hiyo makaburini. Hizi ni baadhi ya picha za behind the scenes.
Weka Maoni yako Hapa
0 comments:
Post a Comment