Saturday, October 27, 2012

PICHA: Vitendo vichafu kama hivi Mashuleni vitaisha lini wadau?!!


Hii Picha imepigwa huko Kenya Kwenye Shule Moja ya Secondary Ambapo kuna Wanafunzi wengi tu kutoka Tanzania...Je ni Uchafu huu utakomeshwa Lini Mashuleni....Inatia Kinyaa Sana Kuona vitu Kama Hivi vinafanyika na watoto wa Dogo tena wazi wazi....Wakuchapa Sana Hawa.
Wanafunzi ambao tunawategemea katika kuifunza jamii yetu mambo kwa sasa ndio ambao wanaongoza kwa kupandikiza hila na tabia chafu miongoni mwa jamii nyingi za hapa kwetu Africa
Share:
Weka Maoni yako Hapa

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger