Thursday, May 26, 2016

VIDEO: Wema Sepetu Hatosahau Kauli Hii ya Shabiki Aliyeandika Kwenye Instagram

Inawezekana ukawa ni miongoni mwa watu wanaopenda kuandika ujumbe au chochote kwenye kurasa za mastaa wa kibongo huku ujumbe ukawa unawaumiza au ukapendwa kwa kile ulichokiandika, sasa staa wa Bongo Movie Wema Sepetu ameonekana kuguswa na kauli ambayo hatoisahau katika maisha yake baada ya Shabiki kuandika kwenye instagram.

Kwenye interview na Ayo tv Wema Sepetu ameitaja kauli hiyo……

Niliambiwa kwamba mimi ni mgumba nitaishia kupost watoto za watu, wewe wa kwako hatutamuona utaishia kubeba mbwa tu,Wema Sepetu 
Share:
Weka Maoni yako Hapa

Habari Zinginezo:

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © 2025 GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger