Thursday, May 26, 2016

Video: Nay wa Mitego Awafungukia Wolper, Nisha na Shilole, Kisa Kutoka na Wasanii Chipukizi

Mkali wa Bongo Fleva  ambae haishi kuwachana mastaa wenzake. Nay wa Mitego, amewatupia vijembe wasanii wa kike wa bongo movie wanaopenda wasanii wa Bongo Fleva wanaochipukia na kuhit redioni.

Kupitia video aliyoipost kwenye account yake ya instagram amewataja warembo hao kuwa Jacqueline Wolper, Nisha pamoja na Shilole. Amesema wasanii hao ni kiboko kwa kukwapua wasanii wadogo ambao single zao zinafanya vizuri. 
Share:
Weka Maoni yako Hapa

Habari Zinginezo:

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © 2025 GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger