Tuesday, May 3, 2016

VIDEO: Snura alivyoiachia ‘Chura’ kwa wakazi wa Dodoma Maisha Basement night Club

Usiku wa Mei 1, 2016 Mrembo ambaye alianza kutamba katika Bongomovie na baadae kuingia katika muziki wa Bongofleva Snura Mushi alifanya show maalum kwa ajili ya kuachia single yake iitwayo Chura mkoani Dodoma Club Maisha Basement.
 
Mashabiki wa Snura walijitokeza kwa wingi na hivi ndivyo ilivyokuwa,tazama hii video hapa

Share:
Weka Maoni yako Hapa

Habari Zinginezo:

0 comments:

Post a Comment

Become a Fan

Popular Posts

Copyright © 2025 GUMZO LA JIJI | Powered by Blogger